Hivi huyu Samia Suluhu aliye kwenye kikao hiki na Hayati Rais Magufuli ndiye huyu aliye Rais wa Tanzania Leo?

Hivi huyu Samia Suluhu aliye kwenye kikao hiki na Hayati Rais Magufuli ndiye huyu aliye Rais wa Tanzania Leo?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
3,611
Reaction score
9,269

View: https://youtu.be/8RLQbwTTqTU?si=rcVAi6NXBIxw43aW
➡️Kumbe binadamu anaweza kubadilika kutoka kuwa mtu mwema na kuwa mtu mbaya na katili sana aieseee...

➡️Kwenye video hii hapo anaonekana Hayati Rais John P. Magufuli na aliyekuwa Vice President (VP) wake by then, Bi Samia Suluhu Hassan katika kikao chao Ikulu pamoja na viongozi waziri Jaffo na katibu mkuu TAMISEMI wakipewa maelekezo na boss wao namna ya kuwa - handle wamachinga ktk miji mbalimbali...

➡️Nimempenda sana Hayati Rais Magufuli hapa kwa moyo wake wa kuonesha kujali maslahi, utu na ubinadamu wa watu wengi wa maisha ya kiwango cha chini na kati wanaohangaika kujitafutia riziki katika ardhi zao badala ya tajiri na mwekezaji mmoja anayependelewa na baadhi ya viongozi wachache kiasi cha kuamua kufukuza maelfu ya wakazi wa eneo au kijiji fulani eti ili apewe mwekezaji mmoja tajiri...

➡️Hii video inathibitisha uzalendo na sehemu ya ubinadamu wa Hayati Rais Magufuli aliyekuwa akipenda rasrimali za nchi tulizopewa na <Mungu ziwanufaishe Watanzania kwanza.

➡️Kinachoshangaza ni Bi Samia Suluhu Hassan aliyekuwa VP wakati huo, Sasa ni Rais kamili wa Tanganyika. Lakini ghafla kageuka na kawa sio Samia Suluhu wa wakati huo anayeonekana kukuitikia kila point ya boss wake.

➡️Leo Bi Samia Suluhu Hassan huyu katugeuka kabisa Watanganyika. Hili somo na Magufuli analopewa hapa kumbe halikumwingiaka kabisa akilini mwake. Samia huyu Leo ndiye dalali mkuu wa rasrimali asili zetu zote kwa wajomba zake waarabu wa Dubai na Oman.

➡️ Samia huyu kauza bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai. Kauza misitu, mbuga zetu mamilioni ya hekari kwa wajomba zake waarabu wa Oman. Ni kwanini huyu mama wa Kizanzibar kageuka na kuwa katili hivi kwa Watanganyika..?

➡️Najiuliza hivi ni kwanini Samia yuleyule aaliyekuwa VP wa Magufuli ni tofauti na Samia Rais wa Tanganyika ya Leo? Amekula maharage ya wapi huyu mama yaliyombadilisha na kuwa katili hivi...?
 
Kakukatili nini mama wa watu!

Hata huyo magu,usikute ulivo mnafiki wakati wake ulimuita dikteta na katili kama unavomuita samia sasa.

Halafu watanganyika ndio kina nani nchi hii,mbona unakuwa mzandiki hadi unazusha vitu ambavyo havipo kabisa duniani? Inakusaidia nini?

Waarabu wamewekeza au wameuziwa bandari?
Kwakua unasema wameuziwa ni vema ungesema na bei walitouziwa na aliyezipokea.usipofanya hivyo wewe utakua unasumbuliwa na roho ya chuki,ubaghazi na ubaguzi tu,tafuta tiba!

Samia akiwa na wajomba waarabu anakuzuia wewe kuwa na mashangazi wakorea?

Kuhusu kubadilika huo ndio ukomavu,na hiyo ichukue hata wewe itakusaidia kwenye maisha yako.jua wakati wa kuwa kondoo na wa kuwa simba.

Na usisahau Hasidi hana sababu!
 
Leo Bi Samia Suluhu Hassan huyu katugeuka kabisa Watanganyika. Hili somo na Magufuli analopewa hapa kumbe halikumwingiaka kabisa akilini mwake. Samia huyu Leo ndiye dalali mkuu wa rasrimali asili zetu zote kwa wajomba zake waarabu wa Dubai na Oman.
Mkuu 'The Palm Beach', sasa nikukumbushe kwamba, hiyo inayo jiita awamu ya sita, ukweli ni kuwa ni awamu ya tano; na imediriki kufanya mambo kinyume kabisa na ile awamu waliyo kuwemo ambayo walichaguliwa kusimamia mambo tofauti na haya wanayo yafanya sasa.
Sasa shuhudia itakuwaje iwapo kama kwenye uchafuzi huu unao fuata 2025, hawa hawa waliokiuka maelekezo yaliyosisitizwa wakati ule, na sasa wakiwa na madaraka kamili, itakuwaje?
 
Kuhusu kubadilika huo ndio ukomavu,na hiyo ichukue hata wewe itakusaidia kwenye maisha yako.jua wakati wa kuwa kondoo na wa kuwa simba.
Huo ndio unafiki wenyewe. Kiongozi mnafiki hafai katika taifa lolote.
 

View: https://youtu.be/8RLQbwTTqTU?si=rcVAi6NXBIxw43aW
➡️Kumbe binadamu anaweza kubadilika kutoka kuwa mtu mwema na kuwa mtu mbaya na katili sana aieseee...

➡️Kwenye video hii hapo anaonekana Hayati Rais John P. Magufuli na aliyekuwa Vice President (VP) wake by then, Bi Samia Suluhu Hassan katika kikao chao Ikulu pamoja na viongozi waziri Jaffo na katibu mkuu TAMISEMI wakipewa maelekezo na boss wao namna ya kuwa - handle wamachinga ktk miji mbalimbali...

➡️Nimempenda sana Hayati Rais Magufuli hapa kwa moyo wake wa kuonesha kujali maslahi, utu na ubinadamu wa watu wengi wa maisha ya kiwango cha chini na kati wanaohangaika kujitafutia riziki katika ardhi zao badala ya tajiri na mwekezaji mmoja anayependelewa na baadhi ya viongozi wachache kiasi cha kuamua kufukuza maelfu ya wakazi wa eneo au kijiji fulani eti ili apewe mwekezaji mmoja tajiri...

➡️Hii video inathibitisha uzalendo na sehemu ya ubinadamu wa Hayati Rais Magufuli aliyekuwa akipenda rasrimali za nchi tulizopewa na <Mungu ziwanufaishe Watanzania kwanza.

➡️Kinachoshangaza ni Bi Samia Suluhu Hassan aliyekuwa VP wakati huo, Sasa ni Rais kamili wa Tanganyika. Lakini ghafla kageuka na kawa sio Samia Suluhu wa wakati huo anayeonekana kukuitikia kila point ya boss wake.

➡️Leo Bi Samia Suluhu Hassan huyu katugeuka kabisa Watanganyika. Hili somo na Magufuli analopewa hapa kumbe halikumwingiaka kabisa akilini mwake. Samia huyu Leo ndiye dalali mkuu wa rasrimali asili zetu zote kwa wajomba zake waarabu wa Dubai na Oman.

➡️ Samia huyu kauza bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai. Kauza misitu, mbuga zetu mamilioni ya hekari kwa wajomba zake waarabu wa Oman. Ni kwanini huyu mama wa Kizanzibar kageuka na kuwa katili hivi kwa Watanganyika..?

➡️Najiuliza hivi ni kwanini Samia yuleyule aaliyekuwa VP wa Magufuli ni tofauti na Samia Rais wa Tanganyika ya Leo? Amekula maharage ya wapi huyu mama yaliyombadilisha na kuwa katili hivi...?

Mh hafananii na Ushungi anaovaa
 

View: https://youtu.be/8RLQbwTTqTU?si=rcVAi6NXBIxw43aW
➡️Kumbe binadamu anaweza kubadilika kutoka kuwa mtu mwema na kuwa mtu mbaya na katili sana aieseee...

➡️Kwenye video hii hapo anaonekana Hayati Rais John P. Magufuli na aliyekuwa Vice President (VP) wake by then, Bi Samia Suluhu Hassan katika kikao chao Ikulu pamoja na viongozi waziri Jaffo na katibu mkuu TAMISEMI wakipewa maelekezo na boss wao namna ya kuwa - handle wamachinga ktk miji mbalimbali...

➡️Nimempenda sana Hayati Rais Magufuli hapa kwa moyo wake wa kuonesha kujali maslahi, utu na ubinadamu wa watu wengi wa maisha ya kiwango cha chini na kati wanaohangaika kujitafutia riziki katika ardhi zao badala ya tajiri na mwekezaji mmoja anayependelewa na baadhi ya viongozi wachache kiasi cha kuamua kufukuza maelfu ya wakazi wa eneo au kijiji fulani eti ili apewe mwekezaji mmoja tajiri...

➡️Hii video inathibitisha uzalendo na sehemu ya ubinadamu wa Hayati Rais Magufuli aliyekuwa akipenda rasrimali za nchi tulizopewa na <Mungu ziwanufaishe Watanzania kwanza.

➡️Kinachoshangaza ni Bi Samia Suluhu Hassan aliyekuwa VP wakati huo, Sasa ni Rais kamili wa Tanganyika. Lakini ghafla kageuka na kawa sio Samia Suluhu wa wakati huo anayeonekana kukuitikia kila point ya boss wake.

➡️Leo Bi Samia Suluhu Hassan huyu katugeuka kabisa Watanganyika. Hili somo na Magufuli analopewa hapa kumbe halikumwingiaka kabisa akilini mwake. Samia huyu Leo ndiye dalali mkuu wa rasrimali asili zetu zote kwa wajomba zake waarabu wa Dubai na Oman.

➡️ Samia huyu kauza bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai. Kauza misitu, mbuga zetu mamilioni ya hekari kwa wajomba zake waarabu wa Oman. Ni kwanini huyu mama wa Kizanzibar kageuka na kuwa katili hivi kwa Watanganyika..?

➡️Najiuliza hivi ni kwanini Samia yuleyule aaliyekuwa VP wa Magufuli ni tofauti na Samia Rais wa Tanganyika ya Leo? Amekula maharage ya wapi huyu mama yaliyombadilisha na kuwa katili hivi...?

Kama huamini jiue
 

View: https://youtu.be/8RLQbwTTqTU?si=rcVAi6NXBIxw43aW
➡️Kumbe binadamu anaweza kubadilika kutoka kuwa mtu mwema na kuwa mtu mbaya na katili sana aieseee...

➡️Kwenye video hii hapo anaonekana Hayati Rais John P. Magufuli na aliyekuwa Vice President (VP) wake by then, Bi Samia Suluhu Hassan katika kikao chao Ikulu pamoja na viongozi waziri Jaffo na katibu mkuu TAMISEMI wakipewa maelekezo na boss wao namna ya kuwa - handle wamachinga ktk miji mbalimbali...

➡️Nimempenda sana Hayati Rais Magufuli hapa kwa moyo wake wa kuonesha kujali maslahi, utu na ubinadamu wa watu wengi wa maisha ya kiwango cha chini na kati wanaohangaika kujitafutia riziki katika ardhi zao badala ya tajiri na mwekezaji mmoja anayependelewa na baadhi ya viongozi wachache kiasi cha kuamua kufukuza maelfu ya wakazi wa eneo au kijiji fulani eti ili apewe mwekezaji mmoja tajiri...

➡️Hii video inathibitisha uzalendo na sehemu ya ubinadamu wa Hayati Rais Magufuli aliyekuwa akipenda rasrimali za nchi tulizopewa na <Mungu ziwanufaishe Watanzania kwanza.

➡️Kinachoshangaza ni Bi Samia Suluhu Hassan aliyekuwa VP wakati huo, Sasa ni Rais kamili wa Tanganyika. Lakini ghafla kageuka na kawa sio Samia Suluhu wa wakati huo anayeonekana kukuitikia kila point ya boss wake.

➡️Leo Bi Samia Suluhu Hassan huyu katugeuka kabisa Watanganyika. Hili somo na Magufuli analopewa hapa kumbe halikumwingiaka kabisa akilini mwake. Samia huyu Leo ndiye dalali mkuu wa rasrimali asili zetu zote kwa wajomba zake waarabu wa Dubai na Oman.

➡️ Samia huyu kauza bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai. Kauza misitu, mbuga zetu mamilioni ya hekari kwa wajomba zake waarabu wa Oman. Ni kwanini huyu mama wa Kizanzibar kageuka na kuwa katili hivi kwa Watanganyika..?

➡️Najiuliza hivi ni kwanini Samia yuleyule aaliyekuwa VP wa Magufuli ni tofauti na Samia Rais wa Tanganyika ya Leo? Amekula maharage ya wapi huyu mama yaliyombadilisha na kuwa katili hivi...?

Jpm alikuwa na mapungufu yake ila alikuwa the best president.
 
Back
Top Bottom