Umeniudhi sana sikutegemea mwanaume ukatae nyama unayoitamani. Sasa fanya hivi kubali urafiki ataingia line sikusinyingi,jaribu kumcare sana,alaf utaona nyama unaila kiulaini. Usitumie nguvu nyingi.
mitazamo ya upande mmoja hiyo. Mtu kukwambia anakupenda hana maana anataka kusex. Poor man!
Subiri aachike
ulibeep umepigiwa walalama nin? kudengua si kipimo cha penz
We sharo nn.....?
Anakupenda sana tuu, ila ukikata tamaa itakula kwako, msikilizie tu.
Pozi mbaya jamani..mwanamke akipenda amependa...unaleta poz..akibembelezwa kidogo kwingine..umekwisha..atahamishia mapenzi yoteeeee huko....mpaaka akusahau..:A S-rose:.
Sasa kwa nini aliniambia amefall in love with me ila baada ya mimi kufanya ujinga sasa anataka tuendelee kuwa marafiki tu!
Kwa kweli inaniuma kwa nilichofanya!Bora ningekubali pale pale!
Ulikua na lengo gani hasa.....kudengua!
Jamani Preta mpe mtie kijana moyo.