Hivi huu ujasiri binadamu anautoa wapi?

Hivi huu ujasiri binadamu anautoa wapi?

Japkas

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
6,473
Mwanaume/Mwanamke kuingiza mchepuko kwenye chumba anachotumia na mume/mke wake inawezekanaje? Mbaya zaidi kwenye kitanda kilekile unachofanyia majambozi na mwenzi wako wa ndoa.

Ni moyo gani mgumu unaoweza kuhimili kuta zikishuhudia mtu wa tatu anaingia kwenye chumba chenye siri ya watu wawili?
 
Siri ziko wapi? Siri moyoni banaaa. Kama jitu lishapotoka kiasi cha kwenda mchepuko unataka nini kifanyike? Sema ujasiri unatoka wapi mtu kumvulia pichu mnyama flani tena mwizi zaidi ya mke wangu. Huu ujasiri unatoka wapi??
Je ningemkuta yeye na kidume flani ningewafanya nini?
 
Siwezi sema ujasiri nitasema utovu wa nidhamu
 
Mwanaume/Mwanamke kuingiza mchepuko kwenye chumba anachotumia na mume/mke wake inawezekanaje? Mbaya zaidi kwenye kitanda kilekile unachofanyia majambozi na mwenzi wako wa ndoa.

Ni moyo gani mgumu unaoweza kuhimili kuta zikishuhudia mtu wa tatu anaingia kwenye chumba chenye siri ya watu wawili?

huo sio ujasir bali ni kukosa nidham na ufinyu wa akili....... Umefanya kosa la kuchepuka tena unaamua kumdhalilisha mkeo/mmeo kwa kumletea haram kitandan kwake
 
huo sio ujasir bali ni kukosa nidham na ufinyu wa akili....... Umefanya kosa la kuchepuka tena unaamua kumdhalilisha mkeo/mmeo kwa kumletea haram kitandan kwake

Hii hali inakuwa kwa kasi sana miaka ya sasa! Binadamu hana utashi tena! kwa sasa binadamu ni zaidi ya mnyama!
 
Siwezi sema ujasiri nitasema utovu wa nidhamu

Fanya yote uwezayo, but nyumbani kwangu tena kwenye kitanda ninachoshea na mwenzi wangu? Nooooo!
 
Hii hali inakuwa kwa kasi sana miaka ya sasa! Binadamu hana utashi tena! kwa sasa binadamu ni zaidi ya mnyama!

ndg siku hiz mapenz ya dhat hamna kabisa usaliti ndio umetawala....... Tutambue kitu kimoja kuwa nyakat za mwisho zmefika..... Mungu atusamehe tu
 
hii inakuwa bahati mbaya tena ukiwa n tungi kichwan!
 
hii inakuwa bahati mbaya tena ukiwa n tungi kichwan!

Hivi inawezekana kweli? Kama unajua pombe inapunguza utashi wako kwa nini unywe kupita kiasi? Hivi magonjwa yataisha kweli?
 
Hivi inawezekana kweli? Kama unajua pombe inapunguza utashi wako kwa nini unywe kupita kiasi? Hivi magonjwa yataisha kweli?

mkuu pombe haiwezi kukutuma ukalale na mwanaume au mke mwingne kwenye kitanda cha mmeo au mkeo. Pombe inaendeleza kile ulichokuwa unakiwaza na ukashindwa kukitimiza wakat hujanywa
 
Mtu yeyote aliye mstaarabu na anauoga na Mungu hawezi fanya ujinga huo, hiyo kitu naichukia sana kama umeamua kuwa na michepuko guest ziko kibao mpeleke huko. Kwann kitanda unacholala na mkeo/mmeo. Watu kama hao nawaita malimbukeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom