Hivi huu ni ugonjwa au?

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Yaani mimi mwili wangu siku hizi siuelewi kabisa. Siku hizi nilikuwa naumwa matatizo ya panic attack nikapona kabisa

Sasa siku hizi matatizo mengine yananiandama nikitulia chini kitu cha dakika 30 na zaidi nahisi mwili unaishiwa nguvu kabisa na Ninasikia kipanda uso Pamoja na baridi.

Ila nikiwa natembea tembea au kufanya mazoezi mwili unachangamka au nikiwa nafanya kazi Ambayo itani toa jasho na Ninasikia Kama Kuna vitu vinatembea mwilini mwangu

Sasa sijui hili tatizo gani. Hivi kukaa chini saana Kunaweza mletea mtu matatizo? Maana kipindi kile ambacho nilikuwa naumwa nilikuwa nakaa kitandani tu Bila kutembea au kufanya chochote
 
Hela sio sulihisho la kila kitu. Ukikua utajua.
Hakika. Hela ni zana kama jembe au kalamu inakuweza kufanya jambo. Na pengine ni sawa na mfanyakazi wako mtiifu ukitaka akupikie chakula unachopenda inafanya, kukupeleka ulsya ni hakika. Pesa ni muhimu lakini sio kila kitu kwani utasikia matajiri wakijinyonga.

Tutafute pesa ili ituweze kufikia malengo yetu kwa kuwa na kila kitu tunahitaji maishani kulingana na mfumo wa uchumi ulivyo
 
Yaani mimi mwili wangu siku hizi siuelewi kabisa. Siku hizi nilikuwa naumwa matatizo ya panic attack nikapona kabisa

Sasa siku hizi matatizo mengine yananiandama nikitulia chini kitu cha dakika 30 na zaidi nahisi mwili unaishiwa nguvu kabisa na Ninasikia kipanda uso Pamoja na baridi.

Ila nikiwa natembea tembea au kufanya mazoezi mwili unachangamka au nikiwa nafanya kazi Ambayo itani toa jasho na Ninasikia Kama Kuna vitu vinatembea mwilini mwangu

Sasa sijui hili tatizo gani. Hivi kukaa chini saana Kunaweza mletea mtu matatizo? Maana kipindi kile ambacho nilikuwa naumwa nilikuwa nakaa kitandani tu Bila kutembea au kufanya chochote
Nini kinakufanya kupanic?

Kuna shida au nia inazunguka akilini mwako haujaipatia ufumbuzi. Una msongo wa mawazo, jitahidi kutoka na kuchangamana na pia usipende kulala.

Soma vitabu na utoke kupiga stori na watu.Tatizo likiendelea nijulishe tusaidiane
 
Unatatizo la nerve, kuna eneo la ubongo limeadhirika yaani mfumo wa umeme. Kama kunawakati miguu au mikono inapata ganzi fanya maamuzi haraka. Na kwa historia yako hata hiyo panic attack ni wazi eneo la ubongo limeadhiriwa.
Dawa hiyo ninayo tuwasiliane.
 
wewe unamin umepona tatizo lako la awali la panick attack mi nashauri tiba uliyoitumia awali ilikuondolea dalili kali ulizokuwa nazo lakini tatzo bado unalo,hiyo hali ya vtu kutembea mwilini na kupanik pia kupoteza umakini kwa muda furani bado ni dalili miongoni mwa panik or anenxiaty
 
Back
Top Bottom