Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Punde hivi nilikua kwenye duka la Muhindi, nikinunua chupa ya chai.
Nikamwambia dosi "nipatie thermos" akaniuliza
"nataka ile kuba au dogo , au ile kati ? Ile kuba iko beba kombe 12"
Nikamjibu
"mimi taka ile kuba"
Mara ghafla akatokea mzee mmoja akawa anamwambia yule Muhindi
"Dewji iko jambo wewe, toto, mama ote jambo?"
Hapo ndipo niulizalo lilipoanzia si mimi tu , kunitokea nishawasikia watu wengi waongeapo na watu wenye lafdhi flani kama hiyo ya kihindi , kimasai, kiarabu hutokea wakaiga kiswahili chenye lafdhi ya anaeongea nae!
Huu mzuka wa kuongea kiivo huwa watoka wapi?
Nikamwambia dosi "nipatie thermos" akaniuliza
"nataka ile kuba au dogo , au ile kati ? Ile kuba iko beba kombe 12"
Nikamjibu
"mimi taka ile kuba"
Mara ghafla akatokea mzee mmoja akawa anamwambia yule Muhindi
"Dewji iko jambo wewe, toto, mama ote jambo?"
Hapo ndipo niulizalo lilipoanzia si mimi tu , kunitokea nishawasikia watu wengi waongeapo na watu wenye lafdhi flani kama hiyo ya kihindi , kimasai, kiarabu hutokea wakaiga kiswahili chenye lafdhi ya anaeongea nae!
Huu mzuka wa kuongea kiivo huwa watoka wapi?