Waungwana mnaofanya kazi serikalini hebu Tupeane Hints!! Nina mshkaji mmoja kila zinapotoka kazi za hazina ananishauri ni apply! with much Emphasis!! mbona huo mshara wa TGS D naona kama mdogo sana. hivi haya maisha nitayamudu kweli? just have a look!!
Monthly house rent....... Tshs 250,0000
fuel.................................... Tshs 180,0000
food.................................. Tshs 300,0000
others (viwalo, bia,..... ) Tshs 280,0000
Waungwana mnasemaje?
Ndugu yangu ngoja nikueleze ukweli, huku Serikalini huwa hatuuishi kwa kutegemea mshahara.Waungwana mnaofanya kazi serikalini hebu Tupeane Hints!! Nina mshkaji mmoja kila zinapotoka kazi za hazina ananishauri ni apply! with much Emphasis!! mbona huo mshara wa TGS D naona kama mdogo sana. hivi haya maisha nitayamudu kweli?
Kwani mzee wewe ni mfanyakazi wa serikali?Embu weka sawa maelezo yako:
Huo mnyumbulisho ulioubandika hapo juu ndo huo mshahara wa TGSD, au ndio vile ambavyo wewe unatumia kwa mwezi?
Napata wazo kwamba wewe tayari una kazi mahala pengine, ambapo unapolinganisha unaona hailipi!!
Kama kwa mwezi unatumia kama ulivyoonyesha, huna sababu ya kuacha kazi yako mahala unakofanya sasa hivi, endelea tu mtuwangu.
Kwani mzee wewe ni mfanyakazi wa serikali?
Ndugu yangu ngoja nikueleze ukweli, huku Serikalini huwa hatuuishi kwa kutegemea mshahara.
Serikalini kuna Posho mbalimbali ambazo zinatufanya tuishi vizuri, inategemea tu upo kitengo gani, sasa hapo hazina ndo fedha zooote za serikali zinapotoka unaogopa nini? shauri yako.
Ukiogopa mshahara wa serikali, Kamwe hutaionja asali ya nchi hii.
Usiniambie kuwa wewe ni sehemu ya watu wanaokula hela za serikali kwa njia ambazo sio za halali, nadhani watu hao ndio tunataka kuwaweka pembeni ili tuanze na clean slate. Kuna harufu ya wizi, rushwa nk katika hii statement yako.Mwalimu atasema nini yeye atakula wapi, daktari naye atakula wapi, zimamoto atakula wapi, mfagiaji wa serikali atakula wapi. Jamani uzalendo na mapenzi ya nchi yetu yameenda wapi, huna tofauti na meremeta, richmond, dowans, radar, gulfstream, EPA etc[/QUOTE
Kaka acha kuaribu!! Baadae tutakua hatupewi siri! mwana hata sisi hayo manoti ya serikalini tunayataka. Hebu fanya survey katika wafanyakazi 100 wa serikalini ni wangapi kati ya hao hawajajenga! then angalia kati ya wafanyakazi 100 wa private sector ni wangapi kati ya hao hawajajenga. ( am talking about the new generation 2007 to present) You will notice the Difference.....
Ndugu yangu ngoja nikueleze ukweli, huku Serikalini huwa hatuuishi kwa kutegemea mshahara.
Serikalini kuna Posho mbalimbali ambazo zinatufanya tuishi vizuri, inategemea tu upo kitengo gani, sasa hapo hazina ndo fedha zooote za serikali zinapotoka unaogopa nini? shauri yako.
Ukiogopa mshahara wa serikali, Kamwe hutaionja asali ya nchi hii.
Usiniambie kuwa wewe ni sehemu ya watu wanaokula hela za serikali kwa njia ambazo sio za halali, nadhani watu hao ndio tunataka kuwaweka pembeni ili tuanze na clean slate. Kuna harufu ya wizi, rushwa nk katika hii statement yako.Mwalimu atasema nini yeye atakula wapi, daktari naye atakula wapi, zimamoto atakula wapi, mfagiaji wa serikali atakula wapi. Jamani uzalendo na mapenzi ya nchi yetu yameenda wapi, huna tofauti na meremeta, richmond, dowans, radar, gulfstream, EPA etc[/QUOTE
Kaka acha kuaribu!! Baadae tutakua hatupewi siri! mwana hata sisi hayo manoti ya serikalini tunayataka. Hebu fanya survey katika wafanyakazi 100 wa serikalini ni wangapi kati ya hao hawajajenga! then angalia kati ya wafanyakazi 100 wa private sector ni wangapi kati ya hao hawajajenga. ( am talking about the new generation 2007 to present) You will notice the Difference.....
The attempted justification of ufisadi in broad daylight, on an anti ufisadi board.
The audacity, the sheer temerity!
The attempted justification of ufisadi in broad daylight, on an anti ufisadi board.
The audacity, the sheer temerity!
Huyu nae sijui kakremu maneno yake...maana kila siku ni hayohayo anarudiarudia!!...too monotonous dude!
Ongea kimawasiliano bana...sio unaleta vijimaneno vya ku`kremu kwenye kamusi...huh!
Nchi hii ya tanzania.
Ukipata chance kula kitu kizima ndio utaheshimika.
ukiwa muungwana na mwaminifu=UMASKINI
Hakuna atakaye kukumbuka na hutaheshimiwa.
Mfano angalia wazee wetu waliokuwa waaminifu leo hii WAKO WAPI?
Waungwana mnaofanya kazi serikalini hebu Tupeane Hints!! Nina mshkaji mmoja kila zinapotoka kazi za hazina ananishauri ni apply! with much Emphasis!! mbona huo mshara wa TGS D naona kama mdogo sana. hivi haya maisha nitayamudu kweli? just have a look!!
Monthly house rent....... Tshs 250,0000
fuel.................................... Tshs 180,0000
food.................................. Tshs 300,0000
others (viwalo, bia,..... ) Tshs 280,0000
Waungwana mnasemaje?
Wana JF, Huyu mtu wa hatari sana!
Ni wa kumwogopa kama ukoma!
Yaani unasema wazi UFISADI WAKO HAPA JAMVINI?
WE HATE YOU, BAHATI YAKO HATUPAJUI KWAKO!
Usiniambie kuwa wewe ni sehemu ya watu wanaokula hela za serikali kwa njia ambazo sio za halali, nadhani watu hao ndio tunataka kuwaweka pembeni ili tuanze na clean slate. Kuna harufu ya wizi, rushwa nk katika hii statement yako.Mwalimu atasema nini yeye atakula wapi, daktari naye atakula wapi, zimamoto atakula wapi, mfagiaji wa serikali atakula wapi. Jamani uzalendo na mapenzi ya nchi yetu yameenda wapi, huna tofauti na meremeta, richmond, dowans, radar, gulfstream, EPA etc[/QUOTE
Kaka acha kuaribu!! Baadae tutakua hatupewi siri! mwana hata sisi hayo manoti ya serikalini tunayataka. Hebu fanya survey katika wafanyakazi 100 wa serikalini ni wangapi kati ya hao hawajajenga! then angalia kati ya wafanyakazi 100 wa private sector ni wangapi kati ya hao hawajajenga. ( am talking about the new generation 2007 to present) You will notice the Difference.....
Hii sio siri, chai ya bilioni tisa hukusikia kwenye budget speech????? Unadhani ni chai kweli, hio ndio kazi yake hakuna lolote. Tuwe na tabia ya kusoma na kuchambua kila kitu utashangaa.
The attempted justification of ufisadi in broad daylight, on an anti ufisadi board.
The audacity, the sheer temerity!
Ufisadi hauna justification na hauna nafasi kabisa, ulaaniwe kwa kila hali na kwa nguvu zote na sauti kali sana.
"Ndugu yangu hujaeleweka,uliitaji msaada au kuongelea mishara ya serikalini,au ulitaka kuonyesha kuwa mshahara wako ni mmkubwa kiasi hicho make, kama matumizi matumizi yako tu ni zaidi ya milioni moja sasa unatafuta nini serikalini.Kaa private sector foever,kama matumizi yako ni hayo.Private sectors is where u can dare to such expenses for a month.I can see that ur monthly house rent only,can pay a proffesiional engineer in the government sector as well as a doctor .So dont dare,stay where u are, and never talk about this.