Hivi hua mnajisikiaje??

Hivi hua mnajisikiaje??

BradFord93

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
921
Reaction score
2,243
Mlikuwa na mahusiano
Mkaachana/wew ukamuacha

Maisha yakaendelea
Mwenzio maisha na neema zinamuwakia
Anaendelea kimaisha tofauti na mlivokuwa pamoja
Amenawiri
Waonao maendeleo yke wanakuletea taarfa

Mara paap unamuona on tv kashinda Biko mil.10

Wew utajisikiaje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina furaha na mafanikio Yake She was the best To me katika kila sector , Kila day namwombea afanikiwe, Hakuwahi kunishusha Thamani, Alikuwa akinishauri na katika ushauri wake nimefika nilipo
Ila katika harakati za kukimbizana na ndoto zetu , Aliondoka bila kuniaga kisingizio ningemkataza Nilikuwa nina hasira mwanzo ila sasa zimepoa , Siamini katia mapenzi ya mbali hivo 💔💔💔💔
Nafurahia mafanikio Yake

Akishinda hizo ni zake siyo zangu kuchukia hakunipunguzii chochote wala kuniongezea, Anayechukia Ni wale Wenye roho za kichawi chawi

Alafu chances kama hizo ni 1 in 7 billion 😂😂😂😂
 
Duh hii ngumu kumeza...but kama hamkuachana kwa ubaya nampiga kichomi cha ukweli yaaani....hili ni funzo tusiachane kwa mabeef
 
Ulisha move on, stay focused. Huna haja ya kumtafuta kumpongeza labda kama mkikutana accidentally. Zaidi furahia tu kimoyomoyo na muombee aendelee kufanikiwa.

Binafsi nina ex wangu watatu wawili wameshaolewa na mmoja kavishwa pete December. Huwa nafurahi sana nikipata hizo taarifa maana najiona kuwa mimi ni kama darasa niliwafundisha vizuri ila tu haikupangwa.
 
Binafsi nafurahia mafanikio yake, ila kumtafuta siwezi hata kwa kujilazimisha.

Kuna mmoja tunaonana kila baada ya miaka 2 mara moja tu tena njiani, naye anadai nimtafute.
 
Sasa mkuu 10m nayo ni hela ya kushtua??..ungesema kuhit kama 500m hapo unge-make sense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom