kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,563
- 2,628
Wadau Habari za jumapili,
Wiki iliyopita Jumatano mke wa ndugu yangu alipata uchungu wa kujifungua tukamuwahisha Hospital ya Amana; baada ya kufika walichelewa kumuhudumia halafu alipojifungua tu huyo mtoto walichelewa kumsaidia akanywa maji machafu toka kwa mama yake baadae wakamchukua mtoto wakamwekea mashine halafu na kwenda naye kusikojulikana, baada ya saa moja wakajatupa taarifa mtoto kafariki maiti ipo mochwari.
Dah! Inasikitisha sana yaani mwanamke kabeba mimba miezi tisa halafu kuna usanii kama huu, tena siku hiyo zaidi ya watu kumi na tano usiku walipoteza watoto. Kuna jamaa mkewe alijifungua mapacha wakafariki wote kwa uzembe huu.
Hivi wadau, hakuna mamlaka ya kwenda kuwachongea hawa wanakula kodi zetu bure ila wanatufanyia unyama kama huu humu kulikuwa na thread nyingi za kuwalalamikia
Wiki iliyopita Jumatano mke wa ndugu yangu alipata uchungu wa kujifungua tukamuwahisha Hospital ya Amana; baada ya kufika walichelewa kumuhudumia halafu alipojifungua tu huyo mtoto walichelewa kumsaidia akanywa maji machafu toka kwa mama yake baadae wakamchukua mtoto wakamwekea mashine halafu na kwenda naye kusikojulikana, baada ya saa moja wakajatupa taarifa mtoto kafariki maiti ipo mochwari.
Dah! Inasikitisha sana yaani mwanamke kabeba mimba miezi tisa halafu kuna usanii kama huu, tena siku hiyo zaidi ya watu kumi na tano usiku walipoteza watoto. Kuna jamaa mkewe alijifungua mapacha wakafariki wote kwa uzembe huu.
Hivi wadau, hakuna mamlaka ya kwenda kuwachongea hawa wanakula kodi zetu bure ila wanatufanyia unyama kama huu humu kulikuwa na thread nyingi za kuwalalamikia