Naombeni mnijuuze maana si mnajua bunge hatulioni live!!!
Lakini nimesikitishwa na hili!.......
Joseph K. Musukuma(CCM): Mawaziri wa Magufuli wamepigwa ganzi, wanamuogopa RC Makonda.
Joseph K. Musukuma(Mb): RC Paul Makonda mwaka 2015 alikuwaanaishi kwa Membe halafu leo niBilionea anamiliki VX na MaghorofaMwanza.
Joseph K. Musukuma: Hata kama Makonda anachangiwa na wahisani, sheria inamtaka atangaze alivyopata pesa hizo. Achunguzwe na Vyombovya Dola.
.....................huu ni wivu na kama vile alivyofanyiwa aliyemwita fisadi Lowasa...
Lakini nimesikitishwa na hili!.......
Joseph K. Musukuma(CCM): Mawaziri wa Magufuli wamepigwa ganzi, wanamuogopa RC Makonda.
Joseph K. Musukuma(Mb): RC Paul Makonda mwaka 2015 alikuwaanaishi kwa Membe halafu leo niBilionea anamiliki VX na MaghorofaMwanza.
Joseph K. Musukuma: Hata kama Makonda anachangiwa na wahisani, sheria inamtaka atangaze alivyopata pesa hizo. Achunguzwe na Vyombovya Dola.
.....................huu ni wivu na kama vile alivyofanyiwa aliyemwita fisadi Lowasa...