Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,041
Surface Pro, za microsoft hasa kuanzia pro 3 na kuendelea nazikubari sana. ila hiki kifaa naona kama kiko weak sana kwanza kina processor weak pia. Sidhani kama kitafanya vizuri labda kakitoa kujaribisha tu.
Halafu hizi teknolojia za double screen sijaona kampuni iliyofanikiwa kutengeneza matumizi ya maana yenye kushawishi watu wengi watumie double screen zaidi naona gimmick tu
Halafu hizi teknolojia za double screen sijaona kampuni iliyofanikiwa kutengeneza matumizi ya maana yenye kushawishi watu wengi watumie double screen zaidi naona gimmick tu