Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 882
Nimetoka kazini nimeshuka zangu kituoni paaap! Ghafla namuona ex wangu ambae hatujaonana takriban mwaka naaa hivi!
Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo sivihitaji ilimradi nisionane nae, nimenunua mivitu kibao ili nipoteze muda!
Kutoka kumbe ameniona ananisubiri kwa nje! Baada ya tukio zima sasa nimeanza kujiuliza kilichonisukuma hasa kufanya hivo ni nini? Uoga? Pressure? Nifanyaje sikuingine nisiingie hasara wajameni
Alafu habari zenu!
Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo sivihitaji ilimradi nisionane nae, nimenunua mivitu kibao ili nipoteze muda!
Kutoka kumbe ameniona ananisubiri kwa nje! Baada ya tukio zima sasa nimeanza kujiuliza kilichonisukuma hasa kufanya hivo ni nini? Uoga? Pressure? Nifanyaje sikuingine nisiingie hasara wajameni
Alafu habari zenu!