Naona unaisubiria kwa hamu sana mkuu kumbuka mpaka sasa Ratio ni 1:4 kwa hiyo siyo siku nyingi sana yatatokea lakini nikukumbushe tu siyo wewe utakaefaidi labda ni kitukuu chako.Isaya:4.1
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
daah,sijui kwanini tuliwahi kuzaliwa kwenye generation hii..Naona unaisubiria kwa hamu sana mkuu kumbuka mpaka sasa Ratio ni 1:4 kwa hiyo siyo siku nyingi sana yatatokea lakini nikukumbushe tu siyo wewe utakaefaidi labda ni kitukuu chako.
Tumekosa Raha sana mkuu basi tu.daah,sijui kwanini tuliwahi kuzaliwa kwenye generation hii..
Aisee huu mstari watakuwa hawauelewi kabisaIsaya:4.1
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Nguvu zao hizi hizi za chips mayaiNa wewe unaisubiri? Kwa nguvu zipi ulizo nazo kuwatosha wanawake 7? Aiiiiiiiiiiiiiii!!!!!
Kizaz cha laaana hikiHaiwezi kuja, mpaka kizazi hiki kipite.
Aisee! KumbeHaiwezi kuja, mpaka kizazi hiki kipite.
NdiyooAisee! Kumbe
Anaisubiria kwa nguvu ya vumbi la CongoNa wewe unaisubiri? Kwa nguvu zipi ulizo nazo kuwatosha wanawake 7? Aiiiiiiiiiiiiiii!!!!!