Hivi hii No hate No fear ya CHADEMA imekaaje?

Hivi hii No hate No fear ya CHADEMA imekaaje?

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,832
Huwa najiuliza hivi siku upinzani ukichukua nchi utaanza kutatua kero za wananchi moja kwa moja au utaanza kulipa kisasi? Kukamata kamata watu na kusukuma ndani? kukumbushia wapi walionewa kama jibu litakuwa ni kuwakaMAta wakina Makonda, wakina Hapi wakina Mzee Magufuli (bila kujali kinga) wakina Jakaya, wakina Mkapa wakina Ndugai wakina Chalamila ,wakina Bashiru , wakina kangi lugola , wakina waiatara basi upinzania hautaruhusiwa kuchukua dola hata kwa kujaribu watu watapigania kubaki madarakani yaani bora mikojo imwagike maana hawata kubali


lakini kama itakuwa ni kutatua matatizo ya wananchi sioni tatizo la kupeana kijiti
Hivyo Chungeni midomo yenu ya kusema siku tukichukua dola wakina Kigwangala wajitafutie Gereza

Alloyce Nyanda
Mtozi
 
Nina hakika ikitokea narudia km ikitokea UPINZANI kuchukua nchi haya ya visasi hayatakuwepo, wafuatilie wanapochangia mijadala bungeni, hawa jamaa wazalendo kuliko inavyofikiriwa.

Lakini pia ni wavumilivu sana, kwa wafuasi walio nao, nadhani ikatokea, KUB akatoa tangazo kuwa wafuasi wa CDM anzeni ku-react negatively juu ya matendo ya SJMT nadhan AMANI iliyopo isingekuwepo.

Amani iliyopo ni upole na busara za Upinzani na uongozi wao hapa nchini.
 
hakuna kitu kama hicho unafikiri lissu anavyoamini kapigwa na serikali si atamaliza hata miaka kumi anarudishaga kisasi tu hawafai hawa hata kujaribu wataishia ubunge tu
 
Kufufua majalada ya akina Tundu Lissu na wengineo wengi ni muhimu
 
Ni sawa tu wakilipiza visasi. Serikali hii ndiyo inatengeneza taifa la visasi tu. Mtu ameumizwa vya kutosha, apate mamlaka akae kimya! Hata kama ningekuwa mimi,nafunga wote walioonea wenzao na kuwaumiza wengi. Huu ni upumbavu mtu kama wewe kutetea uonevu. Taifa lishakuwa la visasi,tutalipizana tu
Huwa najiuliza hivi siku upinzani ukichukua nchi utaanza kutatua kero za wananchi moja kwa moja au utaanza kulipa kisasi? kukamata kamata watu na kusukuma ndani? kukumbushia wapi walionewa kama jibu litakuwa ni kuwakaMAta wakina Makonda, wakina Hapi wakina Mzee Magufuli (bila kujali kinga) wakina Jakaya, wakina Mkapa wakina Ndugai wakina Chalamila ,wakina Bashiru , wakina kangi lugola , wakina waiatara basi upinzania hautaruhusiwa kuchukua dola hata kwa kujaribu watu watapigania kubaki madarakani yaani bora mikojo imwagike maana hawata kubali


lakini kama itakuwa ni kutatua matatizo ya wananchi sioni tatizo la kupeana kijiti
Hivyo Chungeni midomo yenu ya kusema siku tukichukua dola wakina Kigwangala wajitafutie Gereza

Alloyce Nyanda
Mtozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni maneno ya kwenye kanga tu hakuna watu waoga kama hao jamaa.
 
Wao wanavyoongea vijiingereza vyao vya kunywea maji basi wanakisahau hata kiswahili, ambayo ni lugha mama ya Taifa wanaendekeza vijilugha vya kukopi wakati ukimwambia hata Mbowe aongee kiingereza kwa Dakika mbili tu hawezi sasa vijikampeni vya Mbowe ni na wafuasi wake vinakera na vinavhefua sana wanajifanyaga wajuaji sn wanajua kila kitu kumbe hamnazo
 
nchi hii upinzani uliwepo 2015 kurudi nyuma. walobaki ni wale wanaohangaika kujitafutia majina walambe teuzi
 
Wao wanavyoongea vijiingereza vyao vya kunywea maji basi wanakisahau hata kiswahili, ambayo ni lugha mama ya Taifa wanaendekeza vijilugha vya kukopi wakati ukimwambia hata Mbowe aongee kiingereza kwa Dakika mbili tu hawezi sasa vijikampeni vya Mbowe ni na wafuasi wake vinakera na vinavhefua sana wanajifanyaga wajuaji sn wanajua kila kitu kumbe hamnazo
JUKWAA LA TAARABU TAFADHALI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM mnakera Sana. Nikiwaangalia kwa harakaharaka mnaona wanajeshi JW ni kikundi tu Cha wapiga tarumbeta. Haya maneno mnayoandika humu tunayaona na hatuyapendi na hayatufurahishi hata kidogo.

Mnajiona Kama nyie ndio kila kitu na uccm wenu.

Kwenye vikao vyenu jirekebisheni.

Mapinduzi huwa 98% yanafanywa na makamanda wa vyeo vya chini.

Yatawakuteni ya Liberia ya Charles Tylor.

Endeleeni kuitumia police kuwanyanyasa wenzenu.

Siku likisanuka hao police hamtawaona!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najiuliza hivi siku upinzani ukichukua nchi utaanza kutatua kero za wananchi moja kwa moja au utaanza kulipa kisasi? kukamata kamata watu na kusukuma ndani? kukumbushia wapi walionewa kama jibu litakuwa ni kuwakaMAta wakina Makonda, wakina Hapi wakina Mzee Magufuli (bila kujali kinga) wakina Jakaya, wakina Mkapa wakina Ndugai wakina Chalamila ,wakina Bashiru , wakina kangi lugola , wakina waiatara basi upinzania hautaruhusiwa kuchukua dola hata kwa kujaribu watu watapigania kubaki madarakani yaani bora mikojo imwagike maana hawata kubali


lakini kama itakuwa ni kutatua matatizo ya wananchi sioni tatizo la kupeana kijiti
Hivyo Chungeni midomo yenu ya kusema siku tukichukua dola wakina Kigwangala wajitafutie Gereza

Alloyce Nyanda
Mtozi
Pepo la visasi Nafikiri litaendelea kubaki huko huko liliko.Hawa jamaa wametendewa/wanatendewa mabaya mengi sanaaaaa Lakini Popote wanapoongea wanasisitiza AMANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaerudisha kisasi ni Jiwe tu ndo maana tunahisi sio mtanzania maana watanzanai ni watu wa kusamehe.upo hapo.
hakuna kitu kama hicho unafikiri lissu anavyoamini kapigwa na serikali si atamaliza hata miaka kumi anarudishaga kisasi tu hawafai hawa hata kujaribu wataishia ubunge tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala ni kwamba upinzani ukichukua nchi lazima uchambuzi yakinifu ufanyike kama kuna mtu aliwajibika ndivyo sivyo basi lazima achukuliwe hatua.Hivyo ndio sheria inataka.Sasa unataka ifumbie macho uovu?Lazima wanaofanya mabaya wakidhani watakuwa madarakani milele wafundwe na liwe fundisho kwa wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom