GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Kwanini Rais Mstaafu Kikwete na Mkewe Salma walipomaliza tu Kuaga Mwili Watoto wawili wa Kike wa Hayati Mzee Msuya waliangaliana na kama vile walikuwa na lao jambo au labda kuna ambalo linaendelea kwani ile angalia yao na walivyogeukiana siyo ya kawaida na ndiyo maana wenye Macho ya Ndege Tai (ya Unjagu) tumeshtuka na kulihoji hapa.
Tafadhali naomba yoyote mwenye Footage ya TBC 1 aiweke tu ile sehemu Kikwete na Mkewe Salma wanamaliza Kuaga.
Tafadhali naomba yoyote mwenye Footage ya TBC 1 aiweke tu ile sehemu Kikwete na Mkewe Salma wanamaliza Kuaga.