de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 732
- 742
Hebu tujiulize
1. Magari makubwa hasa ma roli ya mafuta na gase kukaa kwenye foleni barabarani hasa maeneo ya mjini.
2.daladala kwenda kuongeza mafuta zikiwa na abiria ndani.
Kama yote tajwa hapo juu si sahihi, Nani wakulaumiwa?
Na kipi twaweza fanya kuepuka majanga pengine ambayo yanaweza hatarisha maisha kwa namna moja au nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Magari makubwa hasa ma roli ya mafuta na gase kukaa kwenye foleni barabarani hasa maeneo ya mjini.
2.daladala kwenda kuongeza mafuta zikiwa na abiria ndani.
Kama yote tajwa hapo juu si sahihi, Nani wakulaumiwa?
Na kipi twaweza fanya kuepuka majanga pengine ambayo yanaweza hatarisha maisha kwa namna moja au nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app