Habar wadau?mwenzenu nilikutana na binti mmoja tukapendana baadae tukaanza kusex kwa kutumia kinga. baada ya siku mbili baada ya kusex vipele vikaniota kwenye mavuzi kama vipele vya kunyoa ila vilikuwa vyeupe badae vilipotea vyenyewe alafu vichache kama vitatu vikahamia kwenye uume navyo vikakauka vyenyewe.tatizo ni juz 2lipokutana nlikuwa nakojoa mapema sana ingawa jana nlipima malaria nkakutwa nayo.sasa hiv hiyo ni nin kama kuna m2 ishawah mtokea hal hyo na ili nirudi kawaida ktk hali yangu nifanyaje?Ahsanteni sana!