Hivi hii ipoje?

Shadrack K. Lwila

JF-Expert Member
Jul 17, 2016
4,925
14,287
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.

4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Iyo ni (mwanzo 1 sura 1 hadi ya 4)
Hapo napata picha kuwa ni dunia ndio ilikuwa ikizungumziwa swali langu ni hili kama mungu aliumba dunia je hizi sayar zingine ziliumbwa na nani ????
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kwa sababu umekuja kwa Swali la biblia nashindwa kukujibu kimaandiko.

Ila ungehitaji kwa vitabu vingine ningekujibu kwa maandiko.


Tambua Kuwa Mungu ndiye muumba wa ulimwengu na tunapoambiwa ulimwengu maana yake sayari zote na kila kinachozunguka jua.
 
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.

4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Iyo ni (mwanzo 1 sura 1 hadi ya 4)
Hapo napata picha kuwa ni dunia ndio ilikuwa ikizungumziwa swali langu ni hili kama mungu aliumba dunia je hizi sayar zingine ziliumbwa na nani ????
Wakijibuu nitag
 
Kwa sababu umekuja kwa Swali la biblia nashindwa kukujibu kimaandiko.

Ila ungehitaji kwa vitabu vingine ningekujibu kwa maandiko.


Tambua Kuwa Mungu ndiye muumba wa ulimwengu na tunapoambiwa ulimwengu maana yake sayari zote na kila kinachozunguka jua.
Ulimwengu maana yake dunia na izo sayar zingine zina majina yake
Ulimwengu=dunia
 
Ulimwengu maana yake dunia na izo sayar zingine zina majina yake
Ulimwengu=dunia
Mkuu naomba uelewe kuwa dunia ni sehemu ya ulimwengu.

Dunia (Earth ) na ulimwengu (universe) ni vitu viwili vyenye maana tofauti katika ulimwengu ndio kuna sayari zote uzijuazo, Nyota, vimondo, jua na vingi tusivyoviona kwa macho ya kawaida.
 
Back
Top Bottom