Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Hebu tuangalie haya:
-Serikali ya CCM kupitia polisi wamekuwa wakiua raia wasio na hatia HIVYO
CCM=Chama Cha Mauaji!
-Bendera yao inathibitisha haya:
*Nyundo kwa ajili ya kuponda vichwa vya watanzania.
*Jembe kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya watanzania.
*Rangi ya kijani ndiyo majani yatakayo ota kwenye makaburi ambayo CCM wanataka kutufukia.
-USHAURI WANGU kwa watanzania:Tuungane kuteketeza CCM kwani ni janga la kitaifa.
-Serikali ya CCM kupitia polisi wamekuwa wakiua raia wasio na hatia HIVYO
CCM=Chama Cha Mauaji!
-Bendera yao inathibitisha haya:
*Nyundo kwa ajili ya kuponda vichwa vya watanzania.
*Jembe kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya watanzania.
*Rangi ya kijani ndiyo majani yatakayo ota kwenye makaburi ambayo CCM wanataka kutufukia.
-USHAURI WANGU kwa watanzania:Tuungane kuteketeza CCM kwani ni janga la kitaifa.