Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together??
Zamani mnaitana kwa hajili ya shughuli hiyo nademu akijua hakuna noma!!Lakini kwa dunia ya sasa na maradhi yote hapana!:redfaces:
Kwa hiyo kama maradhi yasingekuwepo ingekuwa sawa??? :yawn::yawn:
Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together??
Zamani mnaitana kwa hajili ya shughuli hiyo nademu akijua hakuna noma!!Lakini kwa dunia ya sasa na maradhi yote hapana!:redfaces:
KK hapo kwenye red fafanua tafadhali
Dizain ? Elia acha kusikiliza Clouds radio hahaha!pale KK ana maanisha dizain ya mtungo :sleepy:
Nipo my dearupo afro?
Nipo my dear
najaribu kumsoma KK..
Je umemwelewa???
nway we waendeleaje??
mimi sijaelewa hata moja..
huku safi..
wewe huko?
kweli kanichanganya trip hii
mmmhhh
nway huku fresh tu ...
nasubiri le ticket uliniahidi
tuende ile holiday kule mahali
hahahahahahah lol
coz ur the Boss na ninasubiri ruhusa pia lol