nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Te te te...nilipokuwa sijaolewa nimeshasikia story za hivyo nyingi sana pindi itokeapo misiba...
unasikia mkewe machozi yamegoma aisee...
Yani familia inafurahi baba ku rest in peace; afu wanakuja kujitamba hapa kuwa ni vidume wakati hawana umuhimu kwenye familia zao te te te...
Kuna wamama wananenepa baada ya kufiwa; ndio wenye waume design hii wanaorudi majogoo...na wao wanajiita wameoa na wana familia (aibu tupu)
unasikia mkewe machozi yamegoma aisee...
Yani familia inafurahi baba ku rest in peace; afu wanakuja kujitamba hapa kuwa ni vidume wakati hawana umuhimu kwenye familia zao te te te...
Kuna wamama wananenepa baada ya kufiwa; ndio wenye waume design hii wanaorudi majogoo...na wao wanajiita wameoa na wana familia (aibu tupu)
nyie ndio wale wanaume mnaaombewa na wake zenu bora ufe mapema apumzike.