gari iwe kama haijawahi kupakwa rangi? kwani we uliikuta ikiwa haina rangi??Kama unajua mahali wanaweza paka rangi vizuri na KUNYOOSHA body vizuri sio kupiga piga na kupaka putty pia ku spry gari ionekane kama haijawahi pakwa rangi.
Usiniambie niende AZAM nasikia bei unanunua Vitz mpaka IST