Hivi hao watoto wetu tuliowazaa miaka 2000 walilishwa nini? Wanakua kwa kasi kimwili ila akili za mazingira ni ndogo

Kinacho nipa mawazo age yao iendane na wanacho angalia mtoto akifoka 18 inabidi abadilike kuendana na umri wake sio kufanya vitu vya mtoto wa miaka 5 had 9.
Ni kweli, nina dogo wa 15yrs huyu alikuwa anapenda sana katuni lkn sasa kapunguza kutokana na muda kusoma,


Nina huyu wa kiume,anapenda sana katuni hasa weekend na anapenda sana mpira wa miguu anacheza,hivyo ana ratiba zake mwenyewe,,,huyu kutokuwa bize na Tv alinunuliwa baiskeli,
 
Things fall apart, mtoto umleleavyo ndivyo akuavyo. Mizazi yenyewe ya siku hizi ni urojo mtupu, je watoto watakuaje? Sisi watoto wa miaka ya themanini hatukulele kindezi namna hii, shuleni kwenyewe ilikuwa mikiriti kwa kwenda mbele, viboko kwa sana, upuuzi ungekaa wapi? Hawa watoto wa siku hizi hata ustahimilivu wa kazi na maisha ya mahusiano hususani mahusiano ya kindoa nako ni majanga matupu. Ni kizazi cha aina yake wapambane na hali zao
 
Things fall apart, mtoto umleleavyo ndivyo akuavyo. Mizazi yenyewe ya siku hizi ni urojo mtupu, je watoto watakuaje? Sisi watoto wa miaka ya themanini hatukulele kindezi namna hii, shuleni kwenyewe ilikuwa mikiriti kwa kwenda mbele, viboko kwa sana, upuuzi ungekaa wapi? Hawa watoto wa siku hizi hata ustahimilivu wa kazi na maisha ya mahusiano hususani mahusiano ya kindoa nako ni majanga matupu. Ni kizazi cha aina yake wapambane na hali zao
Nimuwadekeza watot ndio chanzo yaani nafikiriaga sana kuhusu fimbo za sasa
 
Hizo ni chagamoto kweli hizo holiday classes na tuition ndo zina haribu kabisa watoto wanakosa mda wa kuchagamana na wenzao, mzazi anawaza kufaulu kwa mtoto tu bila kujua madhara mengine.
Ila sio mbaya kama mazazi atakuwepo mpaka mtoto aanze kujitegemea mwenyewe, ila mzazi tegemezi akikata moto au akapata changamoto ha kiuchumi. Madogo wa hivo hawawezagi kuvumilia kabisaaa.
 
Ila sio mbaya kama mazazi atakuwepo mpaka mtoto aanze kujitegemea mwenyewe, ila mzazi tegemezi akikata moto au akapata changamoto ha kiuchumi. Madogo wa hivo hawawezagi kuvumilia kabisaaa.
Mkuu maisha haya hakuna guarantee mda woto unaweza akakata pumzi au mambo ya kakubadilikia ghafra bila kutegemea, achatu wazazi tunakosea hapo.
 
Kuna wengine hapa,wanasamehe hadi kula kisa makatuni, ni kheri kuliko kufuatilia mamiziki ya kina haniiii haniiiiiii.
Katuni zina uafadhali kwa vile ni vibonzo tu sio watu halisi. Ila ukikaa kuangalia sometimes huwa vinaongea ujinga sana.
Ila ndo watu wazima huwa hatupay attention kiivo ila ukweli ni kua baadhi ya katuni ni za hovyo wanachomekea mambo ya kiutu uzima.
 
Watoto wa kwanza wakaka angu na dada angu wote wa kiume niko nao tangu mwezi wa saba wameletwa kwa mjomba wao ili wanifahamu (its long-time) mimi ndo mjomba wao peke.

moja alizaliwa 2005, mgine 2006 physically wako sawa walisoma private, na kwa kweli wame faulu vizuri mkubwa alipata 1 ya 7 PCB mgine 1 ya 9 wame apply MD vyuo tofauti........

Vituko vyao jana sebuleni buibui(spider) ilingia ndani ni kamwambia mjomba toa huyu mdudu akakimbilia chumbani kuleta jambia ni kamuuliza ya nini kanijibu "uncle its very toxin" ni licheka mpaka basi sasa baya zaidi hao watoto wana enjoy cartoon channel kuliko hata music, channels zao dstv 302, 306, boomerang, cartoon network j,junior nk kuanzia asubuhi mpaka jioni, mpaka wanajua ratiba na vipindi na story za catoons zote TV ya sembuleni tume wamilikisha sie ya chumbani

Ila wako vizuri darasani sio uongo physics moja ana "B" mgine "C" na ni lazima waende varsity wazazi wao sisi uwezo wanao.

Je hao ndo watakua madakitari kusaidia wagonjwa wetu miaka mitatu injao kweli? tatizo ni elimu yetu? Wazazi ? Au watoto wenyewe? wana vituko vya ajabu kweli hao wataweza maisha ya udakitari?

Shangazi wao(wife) yeye anacheka tu hawezi kuwatuma chochote hawawezi kitu zaidi ya kutandika bedings zao tu.........jamani pateni mda kukaa na watoto wenu pesa sio kila kitu, kwa vituko hivi watoto wangu sowapeleke bweni wakiwa primary
Shida mliweka Blue band nyingi kwenye uji ndio maana ubongo unajaa mafuta na mwili unatanuka tu
 
Wanaitwa generation Z.
Ni matokeo ya vyakula vya GMO.
Ambayo kazi yake kuu ni kuua ule utu wa ndani wa mtu na kutokeza kizazi x au generation Z ambacho ni sawa na robot tu.
Kumbe kwahiyo tufanye nini kuepuka hayo yote?
 
IMG_5235.jpg
 
Watoto wa kwanza wakaka angu na dada angu wote wa kiume niko nao tangu mwezi wa saba wameletwa kwa mjomba wao ili wanifahamu (its long-time) mimi ndo mjomba wao peke.

moja alizaliwa 2005, mgine 2006 physically wako sawa walisoma private, na kwa kweli wame faulu vizuri mkubwa alipata 1 ya 7 PCB mgine 1 ya 9 wame apply MD vyuo tofauti.

Vituko vyao jana sebuleni buibui(spider) ilingia ndani ni kamwambia mjomba toa huyu mdudu akakimbilia chumbani kuleta jambia ni kamuuliza ya nini kanijibu "uncle its very toxin" ni licheka mpaka basi sasa baya zaidi hao watoto wana enjoy cartoon channel kuliko hata music, channels zao dstv 302, 306, boomerang, cartoon network j,junior nk kuanzia asubuhi mpaka jioni, mpaka wanajua ratiba na vipindi na story za catoons zote TV ya sembuleni tume wamilikisha sie ya chumbani

Ila wako vizuri darasani sio uongo physics moja ana "B" mgine "C" na ni lazima waende varsity wazazi wao sisi uwezo wanao.

Je hao ndo watakua madakitari kusaidia wagonjwa wetu miaka mitatu injao kweli? tatizo ni elimu yetu? Wazazi ? Au watoto wenyewe? wana vituko vya ajabu kweli hao wataweza maisha ya udakitari?

Shangazi wao(wife) yeye anacheka tu hawezi kuwatuma chochote hawawezi kitu zaidi ya kutandika bedings zao tu.........jamani pateni mda kukaa na watoto wenu pesa sio kila kitu, kwa vituko hivi watoto wangu sowapeleke bweni wakiwa primary
2006 kamaliza form 6 duuh 🤔
 
Watoto wa kwanza wakaka angu na dada angu wote wa kiume niko nao tangu mwezi wa saba wameletwa kwa mjomba wao ili wanifahamu (its long-time) mimi ndo mjomba wao peke.

moja alizaliwa 2005, mgine 2006 physically wako sawa walisoma private, na kwa kweli wame faulu vizuri mkubwa alipata 1 ya 7 PCB mgine 1 ya 9 wame apply MD vyuo tofauti.

Vituko vyao jana sebuleni buibui(spider) ilingia ndani ni kamwambia mjomba toa huyu mdudu akakimbilia chumbani kuleta jambia ni kamuuliza ya nini kanijibu "uncle its very toxin" ni licheka mpaka basi sasa baya zaidi hao watoto wana enjoy cartoon channel kuliko hata music, channels zao dstv 302, 306, boomerang, cartoon network j,junior nk kuanzia asubuhi mpaka jioni, mpaka wanajua ratiba na vipindi na story za catoons zote TV ya sembuleni tume wamilikisha sie ya chumbani

Ila wako vizuri darasani sio uongo physics moja ana "B" mgine "C" na ni lazima waende varsity wazazi wao sisi uwezo wanao.

Je hao ndo watakua madakitari kusaidia wagonjwa wetu miaka mitatu injao kweli? tatizo ni elimu yetu? Wazazi ? Au watoto wenyewe? wana vituko vya ajabu kweli hao wataweza maisha ya udakitari?

Shangazi wao(wife) yeye anacheka tu hawezi kuwatuma chochote hawawezi kitu zaidi ya kutandika bedings zao tu.........jamani pateni mda kukaa na watoto wenu pesa sio kila kitu, kwa vituko hivi watoto wangu sowapeleke bweni wakiwa pri
Utafutaji kwanza. Malezi baadae. Ni kweli maisha yako resi mno, mda wa kupumzika ni shida. Watoto wanaumia kwa malezi mabovu ya watu tunao waacha nao. Unakuta mtoto anamjua zaidi 'msaidizi wa kazi' kuliko mama yake. Nadhani pamoja na ugumu wa maisha, ni vizuri jitihada binafsi zifanyike kuokoa hiki kizazi. Pia tusilaumu tu hiki kizazi, kisaidiwe jamani hali ni mbayaaa
 
Back
Top Bottom