Hivi Halotel kwanini mnafanya hivi?

Hivi Halotel kwanini mnafanya hivi?

shimwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
213
Reaction score
82
Saa nyingine wanazingua kifurushi ukijiunga MB zinachukuliwa bila hata ya kuzitumia. Au ile huduma yao ya kopa Salio hata kama hutaki kuwakopa unashitukia wameshakutumia hata huna shida ya kukopa unawekewa.

Kwanini mnafanya hivi?
 
Saa nyingine wanazingua kifurushi ukijiunga MB zinachukuliwa bila hata ya kuzitumia. Au ile huduma yao ya kopa Salio hata kama hutaki kuwakopa unashitukia wameshakutumia hata huna shida ya kukopa unawekewa.

Kwanini mnafanya hivi?
Acha uongo mbona mimi natumia laini ya halotel haina mauza uza.
 
ni kweli wana shida kwenye hiyo huduma ya patasalio hasa ukiwa ulijiunga kwa kureply ile sms yao ya mwanzo utakuwa unapewa mkopo pale tu salio linapoisha hata kama huhitaji. unaweza kujitoa kwa kuandika ONDOA kwenda 14963. au neno OFF kwenda hiyo namba
 
wewe umetumwA na ule mtandao wa dsm
 
TANZANIA MTANDAO NAMBA MOJA NI HALLOTEL, WENGINE MAKELELE TU, NAWAPENDA HAWAPIGI KELELE WANAFANYA KAZI SAFI SANA HALLOTEL.


WATAALAM WA KUTUMIA SIMU TUKO HUKO TUMETULIA TULI, HATUANGAIKI NA MAKELELE MENGINE.
 
Ukiangalia movie zetu zile kupitia Halotel hadi raha .stimu haikatiki
 
Back
Top Bottom