kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Kila siku vinaibuka virus tena vina majina ya ajabu ajabu sasa mimi nina swali, hivi haiwezekani kuwa na chanjo moja tu kwa ajili ya virusi vyote? Kwamba iwe ni chanjo moja tu lakini ya kuzuia virus vyote?
Maana sasa tutakua tunadungwa machanjo tu? Maana kila siku unaibuka ugonjwa mpya mimi hofu ni kuwa miaka 20 ijayo miili yetu itageuka kuwa na makovu ya masindano ya chanjo hili jambo linanipa stress sana nafikiria watoto wangu watakuja kuishi vipi ktk zama zao?
Hivi haiwezekani kuwa na chanjo moja tu ya kukinga virus vyote?
Maana sasa tutakua tunadungwa machanjo tu? Maana kila siku unaibuka ugonjwa mpya mimi hofu ni kuwa miaka 20 ijayo miili yetu itageuka kuwa na makovu ya masindano ya chanjo hili jambo linanipa stress sana nafikiria watoto wangu watakuja kuishi vipi ktk zama zao?
Hivi haiwezekani kuwa na chanjo moja tu ya kukinga virus vyote?