Sigara Kali JF-Expert Member May 28, 2017 3,623 8,428 Jun 18, 2017 #1 Husika na mada tajwa hapo juu Nawauliza nyie watu wa Dar mnapotuita sie ni wa Mkoani ,it means nyie mpo kwenye nchi yenu na si mkoa wa Tanzania? Mtasikia huyu anatoka mkoani Mara watu wa Mkoani washamba Mnaboa watu wa Dar na hizi dharau zenu.
Husika na mada tajwa hapo juu Nawauliza nyie watu wa Dar mnapotuita sie ni wa Mkoani ,it means nyie mpo kwenye nchi yenu na si mkoa wa Tanzania? Mtasikia huyu anatoka mkoani Mara watu wa Mkoani washamba Mnaboa watu wa Dar na hizi dharau zenu.
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,386 Jun 18, 2017 #2 Dar mbona ni mkoa wa Tanzania..sio nchi
kaburungu JF-Expert Member Mar 9, 2011 3,608 6,639 Jun 18, 2017 #3 Joseverest said: Dar mbona ni mkoa wa Tanzania..sio nchi Click to expand... Hatimae umeshikilia namba yako
Joseverest said: Dar mbona ni mkoa wa Tanzania..sio nchi Click to expand... Hatimae umeshikilia namba yako
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,386 Jun 18, 2017 #4 kaburungu said: Hatimae umeshikilia namba yako Click to expand... Hahaha aseeh
Snowpiercer JF-Expert Member Sep 15, 2014 2,325 4,089 Jun 18, 2017 #5 wa mkoani ni wale wote waishio nje ya Dar, over.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,162 16,249 Jun 18, 2017 #6 WATU WA MKOANI WANAOGOPA HADI VITU VIDOGO KAMA HIVI!!!
edwayne JF-Expert Member Apr 5, 2013 8,879 9,678 Jun 18, 2017 #7 Joseverest said: Hahaha aseeh Click to expand... Hahaha
edwayne JF-Expert Member Apr 5, 2013 8,879 9,678 Jun 18, 2017 #8 Dar ni jiji kubwa seheme pekee isiyokuwa na kijiji wanasema nje kidogo ya mji wa dar ila mikoa mingine lazima Kuna kitu kinaitwa kijijini
Dar ni jiji kubwa seheme pekee isiyokuwa na kijiji wanasema nje kidogo ya mji wa dar ila mikoa mingine lazima Kuna kitu kinaitwa kijijini