Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Husika na mada tajwa hapo juu
Nawauliza nyie watu wa Dar mnapotuita sie ni wa Mkoani ,it means nyie mpo kwenye nchi yenu na si mkoa wa Tanzania?
Mtasikia huyu anatoka mkoani
Mara watu wa Mkoani washamba
Mnaboa watu wa Dar na hizi dharau zenu.
Nawauliza nyie watu wa Dar mnapotuita sie ni wa Mkoani ,it means nyie mpo kwenye nchi yenu na si mkoa wa Tanzania?
Mtasikia huyu anatoka mkoani
Mara watu wa Mkoani washamba
Mnaboa watu wa Dar na hizi dharau zenu.