wewe ni raia wa Tanzania!?
"Tuanzie hapo kwanza"!
Ni hivi majuzi Tu nimeweza kuthibitisha kwamba ukoo wangu umekuwa kwenye hii Ardhi kuanzia karne ya 18, na hilo ni kutokana na kumbukumbu zilizopo!
Ni hivi majuzi Tu nimeweza kuthibitisha kwamba ukoo wangu umekuwa kwenye hii Ardhi kuanzia karne ya 18, na hilo ni kutokana na kumbukumbu zilizopo!
Hivi huyu jamaa Bw.Pinda alitokea wapi? alikuwa wapi kabla ya kuwa Waziri mkuu? halafu kwao ni Mbeya?
katikati ya ziwa Rukwa! Inasemekana Baba yake alikuwa GAGULA ndumba zake zilikuwa zinamlinda baba wa Taifa, kwa kurudisha fadhili JKN alijitolea kumsomesha mwanae same kwa Maji ya Tanga Mzindakaya ambaye baba yake alimchemsha Nyerere kwenye Pipa ili akilengwa kwa risasi isipenye....Ndani ya CCM Utamaduni upo sana tu! Inasemekana hata Lowassa ilibidi akimbilie kwa Joshua baada ya kuona mashambulizi ya Membe yanazidi....
ndiyo...pinda ni mwenyeji wa mkoa wa mbeya. Wakati pinda amasoma skuli za awali alikuwa mkazi wa jimbo la nyanda za juu kusini--yaani jimbo la mikoa ya mbeya na iringa. Mkoa wa mbeya kwenye jimbo hilo ulikuwa na vitu vikiitwa tarafa. Pinda likuwa mkazi wa mkoa wa mbeya kwenye tarafa ya ufipa. Are you happy now n?
Miaka hiyo, tanganyika yoooote ilikuwa na watu pungufu ya milioni tisa. Hapakuwa na haja ya kugawa mikoa kama iliyopo sasa kwa kuwa watu walikuwa wachache sana.
Kwa kifupi pinda ni mwenyeji wa mkoa wa mbeya kwa historia ya ukubwa wa mkoa huo. Naomba na mie nikuulize swali. Je, anna makinda ni mwenyeji wa mkoa wa iringa?
katikati ya ziwa Rukwa! Inasemekana Baba yake alikuwa GAGULA ndumba zake zilikuwa zinamlinda baba wa Taifa, kwa kurudisha fadhili JKN alijitolea kumsomesha mwanae same kwa Maji ya Tanga Mzindakaya ambaye baba yake alimchemsha Nyerere kwenye Pipa ili akilengwa kwa risasi isipenye....Ndani ya CCM Utamaduni upo sana tu! Inasemekana hata Lowassa ilibidi akimbilie kwa Joshua baada ya kuona mashambulizi ya Membe yanazidi....
Sayansi imethibitisha kuwa Daku husababisha kujamba sana na ubongo wa binadamu kuwa kama wa BATA.Hivi huyu jamaa Bw.Pinda alitokea wapi? alikuwa wapi kabla ya kuwa Waziri mkuu? halafu kwao ni Mbeya?