Jamani huku kwetu matumbo joto, kwani nyumba yangu iko bondeni miaka mingi nimeambiwa nitoke, ila viongozi wa Chama fulani wameniambia nisiondoke nitulie....
Sasa naombeni ushauri wenu hivi bomoabomoa imesitishwa?
Jamani huku kwetu matumbo joto, kwani nyumba yangu iko bondeni miaka mingi nimeambiwa nitoke, ila viongozi wa Chama fulani wameniambia nisiondoke nitulie....
Sasa naombeni ushauri wenu hivi bomoabomoa imesitishwa?
Jamani huku kwetu matumbo joto, kwani nyumba yangu iko bondeni miaka mingi nimeambiwa nitoke, ila viongozi wa Chama fulani wameniambia nisiondoke nitulie....
Sasa naombeni ushauri wenu hivi bomoabomoa imesitishwa?