atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Naomba kuuliza kwanza,mlevi wa bangi na mlevi wa pombe nan mwoga kati yao
ungepika chipsKuiga kubaya sana nakumbuka kabla ya kua sheikh kuna rafiki yangu alifukuzwa kwao nikaamua kukaa nae sasa yeye alikua anavuta.Kuna siku nikajaribu kidogo basi baada ya muda mule ndani kulikua na kiroba cha mkaa nusu lakini nikaona kiroba kimejaa viazi vya chipsi.Nilivyozidia nikawa namuomba rafiki yangu akaninunulie maziwa ili nikate stimu lakini akaniambia maziwa hayakati stimu basi nikamuomba animwagie ndoo nzima ya maji kichwani.Nilivyopata afadhali nikamwambia bangi zake asije nazo getto maana tulikua anavutia ghetto kwangu
Hahahaa Du!!!Kuiga kubaya sana nakumbuka kabla ya kua sheikh kuna rafiki yangu alifukuzwa kwao nikaamua kukaa nae sasa yeye alikua anavuta.Kuna siku nikajaribu kidogo basi baada ya muda mule ndani kulikua na kiroba cha mkaa nusu lakini nikaona kiroba kimejaa viazi vya chipsi.Nilivyozidia nikawa namuomba rafiki yangu akaninunulie maziwa ili nikate stimu lakini akaniambia maziwa hayakati stimu basi nikamuomba animwagie ndoo nzima ya maji kichwani.Nilivyopata afadhali nikamwambia bangi zake asije nazo getto maana tulikua anavutia ghetto kwangu
We acha tu ndugu yangu!nilifanya makosa makubwa sana kujifunzia cha ARUSHA,hii sio stori ya kutunga ni kweli.Kichwa changu hakiwezi kuhimili vilevi coz nakumbuka kuna siku rafiki yangu mmoja kwao kulikua na harusi halafu shughuli ikafanyikia kwenye ukumbi nikashawishika kupiga SAFARI moja tu nikalewa chakali basi umri wangu ulikua mdogo lakini nikajikuta nacheza mziki na bonge la mama halafu lenyewe likanisusia mgongo na mie bila aibu nikawa nalimbambia mbele ya mama wa rafiki zangu ambao nawaheshimu sanaHahahaa Du!!!
bangi ina gusa ubongo kinachofwata kila mtu anafanya inavyo mtuma wengine kula sana,kuongea sana,kukaa kimya,kucheka sana,kufanya kazi ngumu bila kuchoka,kutosikia maumivu nk wachache sana inawapeleka kungonokaJuzi jamaa mmoja wa Muleba kwenye TV anadai yeye akivuta anakuwa na nguvu ya kulima hekari kwa muda mfupi. Kuna jamaa yeye alienda kuogelea kwenye maji yaliyotuama barabarani akidhani ni ziwa.
Mwingine alikuwa anaona umati wa watu wanamkimbiza wakati yuko peke yake. Mwingine mtaro mfupi na mwembamba yeye anauona kama ziwa tanganyika
Mwingine ukimtengea ugali hata uwe mkubwa kiasi gani anaumaliza peke yake
Mwingine akuruka sarakasi bila kushika chini huku akiwa hajui lolote kuhusu sanaa hiyo akaishia kuvunjika
Mwingine ukimuangalia machoni anakuonea aibu, na kukuchukia..
Mwingine anachekacheka bila sababu...
........
Hivi huu mmea Haramu Kwa tanzania huwa una ingrediates gani hadi unahamisha bongo kiasi hiki.
Ongezea zako....