Hivi bado watu wanaungama

Hivi bado watu wanaungama

Ni muda sasa umepita toka nipate kipaimara, pia nadhani ndio ilikua Mara yangu yamwisho kutinga church. Ivo nataka kujua kuwa watu bado uungama kama zamani au kunamabadililiko yashafanyika ?
Bado tunaendelea kuungama,tena kwa Kasi ya 5G.
 
Kama hujawahi kuungama hii ina maana Ekaristi Takatifu hushiriki.

Kushiriki mwili wa Kritu hutakiwi kuwa katika hali ya dhambi.
 
Sawa Maandiko yao yanaruhusu kufanya hivyo?
Kama hapana wao wametoa wapi.
Yohana 20:21-23

Basi Yesu akawaambia tens, Amani iwe kwenu; kama baba alivyonituma Mimi, Mimi nami nawapeleka ninyi." Naye akiisha kusema hayo, akavuvia, akawaambia, "pokeeni Roho Mtakatifu wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi , wamefungwa."
 
Ni muda sasa umepita toka nipate kipaimara, pia nadhani ndio ilikua Mara yangu yamwisho kutinga church. Ivo nataka kujua kuwa watu bado uungama kama zamani au kunamabadililiko yashafanyika ?
mkuu na bado huna mpango wa kwenda. Mkimbilie Mungu dunia inamambo mengi hii.
 
Back
Top Bottom