changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
Chagua TanzaniaSijaelewa ilo game lao. Nimeregister, Ila naona Kuna ugumu kuplay
Chagua TanzaniaSijaelewa ilo game lao. Nimeregister, Ila naona Kuna ugumu kuplay
Ni draft la kucheza online unakutana mafundi humo wa kila pembe za Tanzania. Unaingia playok.com kisha unaweza kujisajili au ukaingia kama guest user. Kisha baada hapo chagua Tanzania draft hapo utakutana na wasukuma kete. Ukianza utapewa point 1200 kadri unavyozidi kushinda ndivyo na point zinaongezaka. Na pia ukicheza na aliyekuacha mbali kwa point na ukatoa sare, utaongezewa point. Ukifungwa point zinashuka ila ukifungwa na tura point wanakukata nyingi.Mbona mi naona nyota tu, eti jamani, mmeelewa?
Nimechagua, lakin nikichoose jina la mtu, naona inajicheza yenyeweChagua Tanzania
Nimekupata vyema.Kiwango baba,wale wenye blue bahari ni Matura,Ila wa kijani ni wa wastani, Ila wapo wenye njano za kudumu hao maji marefu,sasa ukiona nyekundu hao ni hatari mzee.
Mkuu hao ni watu wanacheza. Tafuta table table ambayo ina mtu mmoja au fungua table yako kisha set dakika kisha panda. Umeona mfano hapo table namba 100 na namba 112 ndio zina mtu mmoja anayetafuta mtu wa kucheza nae. Kwahiyo ukiona hivyo ndipo unaweza kuingia kwenye table hiyo kisha ukapanda kucheza naeNimechagua, lakin nikichoose jina la mtu, naona inajicheza yenyewe
Ukishaingia kwenye table husika kama kuna mchezaji utabonyeza kwenye sehemu ambayo haina mtu. Mfano kama upande wa kushoto kuna mtu basi utabonyeza kwenye namba mbili kulia kisha uta start ili kuanza kucheza na aliyopo kushoto. Mfano huu chiniNimechagua, lakin nikichoose jina la mtu, naona inajicheza yenyewe
huko Wadada wasiingie , km mm kidume zogo la draft siliwezi je bibie si watambaka!!!!Na hili ukishinda mdada anachojoa...!!???
huko Wadada wasiingie , km mm kidume zogo la draft siliwezi je bibie si watambaka!!!!
na sijui km kuna kulipwa
bora hata mpira wa miguu au mbio za magariAahahahahahhaaa ngoja nijizuie...
Ila ashiki imeshika hatamu....
Ooh, kumbeNi draft la kucheza online unakutana mafundi humo wa kila pembe za Tanzania. Unaingia play.com kisha unaweza kujisajili au ukaingia kama guest user. Kisha baada hapo chagua Tanzania draft hapo utakutana na wasukuma kete. Ukianza utapewa point 1200 kadri unavyozidi kushinda ndivyo na point zinaongezaka. Na pia ukicheza na aliyekuacha mbali kwa point na ukatoa sare, utaongezewa point. Ukifungwa point zinashuka ila ukifungwa na tura point wanakukata nyingi.
Mle matura wana rangi zao za blue bahari
Wanajitahidi wana rangi za kijani
Watabe wana rangi za njano
Walioshindikana wana rangi za orange.
bora hata mpira wa miguu au mbio za magari
kwanini hata usikimbie mbio ndefu nasikia zina genye sana ukishindwa unajilengesha kwa mshindi kumaliza ashiki
sasa draft watakushika sana na kunakuliwa KING ujue usijegoma Dadaa
Mbona wanakula kwa kurudi nyuma?Mkuu hao ni watu wanacheza. Tafuta table table ambayo ina mtu mmoja au fungua table yako kisha set dakika kisha panda. Umeona mfano hapo table namba 100 na namba 112 ndio zina mtu mmoja anayetafuta mtu wa kucheza nae. Kwahiyo ukiona hivyo ndipo unaweza kuingia kwenye table hiyo kisha ukapanda kucheza naeView attachment 2191257
Huwa anahesabiwa sekunde 60 (ndani ya dakika moja) awe amerejea. Zikiisha hizo sekunde hajarudi unapewa ushindi wa mezaniShida ya hizi Online gqmes mtu akiona dalili anafungwa anapotea Online hamalizii mchezo,na nitawakamua hv hv