ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,237
- 1,919
dalili moja wapo kuonesha kama zzk anakubalika ni wewe na vilaza wenzio wa cdm kila cku kuja humu kumzungumzia nyambaf zenu,,mnawashawa nae nini kama hakubaliki au mnataka dushe lake.
Mkuu ungemuuliza na chadema wanapotumia kigezo cha kujaza.watu mikutanoni kuwa ni kukubalika kwa hiyo.kwao pia sio sahihi!?
Hata baa mpya huwa inajaza watu sana wiki ya kwanza ya kufunguliwa. Kila mteja huwa ana chake anafuata mwanzoni. Ngoja tuone.
ACT inatangazwa na watu wanaoitakia mabaya!