Kwa wale wapambe na wafuasi waaminifu wa Zitto Kabwe wanajitahidi sana kujinasibu kuwa Zitto Kabwe ni mwanasiasa tishio kwa Tanzania ya sasa.
Hawaishii hapo tu, wanajaribu kuitumia mitandao ya kijamii kuwaaminsha Watanzania kuwa Zitto na genge lake watawasambalatisha UKAWA kwa kuwa mikutano yao inajaza sana watu.
Mimi nasema kujaza watu sio tatizo lakini hao watu waliojaa mudi zao zinakuwaje wanaposikiliza mikutano yenu? au anawapokeaji pale mnapomaliza maneno yenu mnayolombo?
Watanzania hawako hivyo kama wawazavyo wajinga, wao wakishamtilia mtu mashaka kumuamini ni kazi ngumu.
Watanzania sio watu wa kuwageuza geuza kama unavyotaka wewe, na suala la kupata watu wengi katika mikutano yenu sio issue.
Kama hili hamuamini basi asiwepo Zitto bali Mwigamba na Mchange waenda katika uwanja wowote na ikapo kilichofunikwa kitambaa chekundu na kujifanya waganga wakienyeji patajaa watu wenyewe watashangaa.
Hawaishii hapo tu, wanajaribu kuitumia mitandao ya kijamii kuwaaminsha Watanzania kuwa Zitto na genge lake watawasambalatisha UKAWA kwa kuwa mikutano yao inajaza sana watu.
Mimi nasema kujaza watu sio tatizo lakini hao watu waliojaa mudi zao zinakuwaje wanaposikiliza mikutano yenu? au anawapokeaji pale mnapomaliza maneno yenu mnayolombo?
Watanzania hawako hivyo kama wawazavyo wajinga, wao wakishamtilia mtu mashaka kumuamini ni kazi ngumu.
Watanzania sio watu wa kuwageuza geuza kama unavyotaka wewe, na suala la kupata watu wengi katika mikutano yenu sio issue.
Kama hili hamuamini basi asiwepo Zitto bali Mwigamba na Mchange waenda katika uwanja wowote na ikapo kilichofunikwa kitambaa chekundu na kujifanya waganga wakienyeji patajaa watu wenyewe watashangaa.