Hujumaa! Na ni Mama ndiyo ana hujumiwa nawaambia kweli Mtakuja niambia siku moja tukikutana! hadi kwenye umeme kwa Wakazi wa Kigamboni ni kero tupu,mgao si mgao, short si short,na kitu kizuri wahusika wapo na wanajua tatizo lakini wamekaa kimya nao wanaangalia Kama nyinyi! Sasa wwe Ni Nani upige kelelee usikilizwe!!?