MjombaRiziki
Senior Member
- Feb 14, 2013
- 145
- 129
Habari za leo wakuu!
Nijikite moja kwa moja kwenye Mada. Natarajia kuozesha binti yangu katikati ya mwezi wa Sita mwaka huu, nategemea kumfanyia Sherehe ya kumuaga-SendOff.
Nahitaji Ukumbi wa kuweza kutosha watu wasiopungua 200, naishi Kongowe na Ukumbi uwe Maeneo ya Kilwa Road kuanzia Bendera Tatu-Kurasini hadi Mtoni kwa Aziz Ally ili iwe rahisi kwa Watu wengine kuja kujumuika.
Nilitegemea kupata Kumbi za Pale Sabasaba Maonesho lakini kwa kipindi ninachotarajia kufanya hio shughuli kumbi hizo hazitopatikana kwa sababu ya Maandalizi ya Maonesho ya Sabasaba.
Nawasilisha!
================
UPDATE;
Wakuu Ahsanteni kwa Michango ya Mawazo.
Kiufupi tayari nimepata Ukumbi wa Baraza la Maaskofu - KURASIINI
AHSANTENI
Nijikite moja kwa moja kwenye Mada. Natarajia kuozesha binti yangu katikati ya mwezi wa Sita mwaka huu, nategemea kumfanyia Sherehe ya kumuaga-SendOff.
Nahitaji Ukumbi wa kuweza kutosha watu wasiopungua 200, naishi Kongowe na Ukumbi uwe Maeneo ya Kilwa Road kuanzia Bendera Tatu-Kurasini hadi Mtoni kwa Aziz Ally ili iwe rahisi kwa Watu wengine kuja kujumuika.
Nilitegemea kupata Kumbi za Pale Sabasaba Maonesho lakini kwa kipindi ninachotarajia kufanya hio shughuli kumbi hizo hazitopatikana kwa sababu ya Maandalizi ya Maonesho ya Sabasaba.
Nawasilisha!
================
UPDATE;
Wakuu Ahsanteni kwa Michango ya Mawazo.
Kiufupi tayari nimepata Ukumbi wa Baraza la Maaskofu - KURASIINI
AHSANTENI
