Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,957
- 7,697
Yes Mtume Muhammad (s.a.w) alitumwa na Mungu kwa ajili ya walimwengu wote kwa maana ya Binaadamu na Majini!Majini yalisilimishwa na Mtume Moahmed.
Majinn ni maislam.
It was reported that bones are food for the jinn. Among the Ahaadeeth that are reported in this regard is the Hadeeth reported by Muslim that the jinn asked the Prophet for food and the Prophet replied:Wao wanakula vitu gani..vip nikiitaji mrembo wa kijini nampataje.
Yule alomwambia Yesu ajitupe mnarani alikuwa kuku?. Wale walotolewa na kuwaingia nguruwe walikuwa kenge?.Na majini wakaamua makazi yao rasmi yawe kwa Islamic 😎
﴿۞ قُلْ يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا ۚ إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ﴾HATA SIKU MOJA SIKUBALIANI NA ALAH.ALAH NI SHETANI NA MALAIKA ZAKE NI MAJINI.WAFUASI WAKE NI MAGAIDI NA SAHV KUNDI LINGNE LA MAGAID LIMEONGEZEKA TZ NA UGANDA
Nitumie jini moja kama unalo wewe mwenye akili.Akili huna.,.Hata mchungaji wako ana acknowledge uwepo wao....Yesu mwenyewe kwenye biblia amenukuliwa akifanya exorcism kwa mtu aliyekuwa possessed na majini...!!
Vp mjadala wa Yesu na Iblis pindi ambacho Iblis alikuwa akishawishi yesu apande juu mnarani kisha ajitupe chini ili aone kama atakufa ama laa?
Jini mzuri anafanya kama wanavyofanya wale Wisilamu wa Swala tano,yaani Anaswali,hanywi pombe wala hamuingii mtu na kumtesa na mambo mengi na majini yapo ya aina nyingi kutoka na sehemu husika hubadilika kutokana na majina wengine huita kinyamkela au hujawahi kuona Mmasai kapandisha mori?maandamano
Umesema majin yako mabaya na mazuri.
Je haya mazuri ndio hawa yalioslim na kuwa waislam?.
Maana naona Watu wote wanaopandisha majini.
yale yanaowasumbua kwa maradh nk. Yote huwa yakitolewa yanasema majina ya Kiislam.
Kwahiyo Hata majini mabaya ni ya kiislam?.
Maana kama ya kiislam ni mazuri. Kwanini huvagaa watu na kuwatesa?.
Au majini yote ni ya kiislam?.
Hebu niwekee sawa hapo.
Jini mzuri anafanya kama wanavyofanya wale Wisilamu wa Swala tano,yaani Anaswali,hanywi pombe wala hamuingii mtu na kumtesa na mambo mengi na majini yapo ya aina nyingi kutoka na sehemu husika hubadilika kutokana na majina wengine huita kinyamkela au hujawahi kuona Mmasai kapandisha mori?
Nitumie jini moja kama unalo wewe mwenye akili.
Think out of the box.
Story za majini asili yake ni middle east. Sehemu nyingine za dunia hawakuwa na uzushi huo.
Watu wanaofikiriwa kuwa na majini huwa ni wagonjwa wa afya ya akili wakiwemo wenye Dissociative identity disorder (jaribu kusoma kuhusu hii) na hata wenye dissociative fugue. Matibabu yake yanaweza kufanyika kwa kuhusisha hypnosis na exorcism
Labda nikusaidi maana najua unachofikilia,kwa kufupisha nataeleza kwa ufupi,Kaumu ya Musa aliwaongoza Waisraeli dhidi ya farao aliyekuwa anajiita Mungu,huku Musa akimuhubiria Mungu mmoja ambaye hana mtoto hana mke wala hazai wala hafi hapo hakuna aliyekuwa anamjua Yesu,kumbuka kabla ya Musa alikuwepo Ibrahimu ambaye naye anahubiri Mungu mmoja akipingana na ibada ya masanamu,HATA SIKU MOJA SIKUBALIANI NA ALAH.ALAH NI SHETANI NA MALAIKA ZAKE NI MAJINI.WAFUASI WAKE NI MAGAIDI NA SAHV KUNDI LINGNE LA MAGAID LIMEONGEZEKA TZ NA UGANDA
Ndiyo,sema yanabadilika tu majina kama kinyamkelamaandamano
Kuna majini ya kiafrika. Ya kizungu na ya kijapan?.
Maana kama binadam kuna weusi , weupe nk..wao wakoje?.
Wana makabila,
Je kuna majini yana amini dini nyingne ukiacha Uislam?.
Maana yana free will.
Je kuna majini hayaamini kama kuna allah (Atheist) kama Kiranga .
Usichoke maswal..tupe ilmu dyunia ya hawa viumbe vya mnyenz Mungu subihala wa taala.
Kuna Sura katika Uisilamu ukisomewa jina anatoka tena ataungua vibaya maana jini anawagopa sana binadamuVp kama mtu anayo hayo majini mabaya anawezaje kuyatoa...kuna ndoto nimekua nikiota namuota Nyoka mkubwa bila shaka huyu ni jini ninae
Binaadamu kila kukicha hubadili dini/ au kuachana na dini kabisa, je hao majini waliyosilimishwa wao hawabadili dini?Majini yalisilimishwa na Mtume Moahmed.
Majinn ni maislam.
Mbona kuna wale majini aina ya mizimu sio waislamu, bado wana matambiko yao yenye kuendana na mila za jamii husika.Na majini wakaamua makazi yao rasmi yawe kwa Islamic 😎
Ndo ushaambiwa sasa 😂