Clouds = Mawingu. Ilikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 1990 wkati niko Arusha. Walikuwa wanapiga hapo disco lao hapo mjini kati karibu na mnara wa saa.
Umesema walianzisha na mbia mwenzie ruge ila kwenye hisa mbona hayupo??
Sasa ubia gqni unaouzungumzia wewe?
Sema alikuwa muajiriwa tuu
Mambo mengine ni siri za kambiHemu tuleteeni historia inayoendana na uharisia wa kijana bana yaani unaandika tu
“eti alipendezwa na muziki akaamua kufungua TV yake na mbia mwenzie”
HOW inamaana kijana wowote leo akipendezwa afunguo kiwanda cha maji Safi anafungua tu kwasababu alipendezwa, tunataka kujua MTAJI aliupata wapi, aliupataje ??
Hard working jamaa anamka saa 8 usiku everydayKusaga mtoto wa kishuwa
Sema alitumia vzr nafasi yake na kitu alichopenda kufanya....mambo mengine anajua yeye
Ova
Kim&Boyz ndiyo ilikuwa ya Magomelo?...Dah nimewakumbuka watayarishaji wa matamasha Enzi hizo kim&the Boyz Hawa walikuwa wanaanda matamasha kabla hata ya mawingu/clouds
Watoto wadogo hamuwezi kuelewa
Ova
Redio ya chamaWapiga propaganda wa CCM hao. Ni enemies of the people.
Umenikumbusha mtu mmoja alikuwa anaitwa Athuman njahidi sijui yuko wapiClouds = Mawingu. Ilikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 1990 wakati niko Arusha. Walikuwa wanapiga disco lao hapo mjini kati karibu na mnara wa saa.
Am stand to be correctedJoseph M. Kusaga
Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.
Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.
Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.
CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.
Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
Umenikumbusha mtu mmoja alikuwa anaitwa Athuman njahidi sijui yuko wapi
Mbona hiyo historia ni kuduchu sana.Joseph M. Kusaga
Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.
Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.
Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.
CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.
Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
Alipewa na Baba yake baada ya kupata mafao ya kustaafu kazi. Ndio maana Clouds ni mali ya familia ya KusagaHemu tuleteeni historia inayoendana na uharisia wa kijana bana yaani unaandika tu
“eti alipendezwa na muziki akaamua kufungua TV yake na mbia mwenzie”
HOW inamaana kijana wowote leo akipendezwa afunguo kiwanda cha maji Safi anafungua tu kwasababu alipendezwa, tunataka kujua MTAJI aliupata wapi, aliupataje ??
Marehemu Abdulhakim Magomelo alikuwa mtu poa sana.Kim&Boyz ndiyo ilikuwa ya Magomelo?...
Enz za kina Digadiga,Black Moses ,Saba Jackson....
Joseph M. Kusaga
Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.
Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.
Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.
CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.
Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
Itakua ivo mkuu....si unaona hata mkewe nandy kajiamulia kutafuta mme mwingine badala ya kung'ang'ania hizo mali.Ruge hakupata share zozote ?