balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,456
- 12,582
Kwa hiyo Steven Gerald ni mjinga au Paulo Maldin Hana akili?Fei toto anakenua meno tu wakati yupo kwenye peak lakini husikii hata tetesi za kuhama anafikiri utopolo ni baba yake, hawajifunzi kwa Ngasa.