Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Nimesikia matangazo ununuzi wa hisa za Mwanza Community Bank PLC umeongezwa muda, Biashara hii ya Hisa kwangu mimi imekaa ki-speculation zaidi kwa maana unawekeza/unatupa pesa zako huko lakini tegemea kupata au kukosa(Rejea hisa za TOL, Precision Air n.k).
Niliwahi kununua Hisa za NMB walipokuwa wanauza hisa zao lakini baadae nilivoona hazifanyi vizuri sokoni nikaziuza, Leo hii najutia uamuzi ule niliufanya haraka sana kwasababu NMB wanafanya vizuri sana sokoni sasa hivi, na kama ningeamua kusubiri hadi sasa ningekula bingo nzuri sana.
Sasa swali langu kwa Mabingwa wa Speculation(Speculators) hizi hisa za Mwanza Community Bank PLC mnadhani zitakuja fanya vizuri sokoni?, na Je kwa vigezo vipi mnavoviona?
Cc: DseTanzania Pasco SanctusMtsimbe
Niliwahi kununua Hisa za NMB walipokuwa wanauza hisa zao lakini baadae nilivoona hazifanyi vizuri sokoni nikaziuza, Leo hii najutia uamuzi ule niliufanya haraka sana kwasababu NMB wanafanya vizuri sana sokoni sasa hivi, na kama ningeamua kusubiri hadi sasa ningekula bingo nzuri sana.
Sasa swali langu kwa Mabingwa wa Speculation(Speculators) hizi hisa za Mwanza Community Bank PLC mnadhani zitakuja fanya vizuri sokoni?, na Je kwa vigezo vipi mnavoviona?
Cc: DseTanzania Pasco SanctusMtsimbe
Last edited by a moderator: