To a ujinga hapa niwewe,haya unatafuta nini sasa hapa?Toeni utumbo wenu hapa., sio kila mtu anapenda mpira.., especially ushabiki wa timu za nchi ambazo hata hujawahi tia mguu.., pelekeni jukwaa la michezo huko
jua hapo ivan campo yupo benchi...morientes...guti
Real Mardid =Real Madrid.Wakubwa wenzangu mimi ninaamini kwa.miaka yetu ile hii ndio real mardid bora zaidi iliyowahi kutokea duniani..hebu wakuu leta maoni yenu hapaView attachment 455583
unajua maana ya habari mchanganyiko??Toeni utumbo wenu hapa., sio kila mtu anapenda mpira.., especially ushabiki wa timu za nchi ambazo hata hujawahi tia mguu.., pelekeni jukwaa la michezo huko
Toeni utumbo wenu hapa., sio kila mtu anapenda mpira.., especially ushabiki wa timu za nchi ambazo hata hujawahi tia mguu.., pelekeni jukwaa la michezo huko
Acha uhayawaniToeni utumbo wenu hapa., sio kila mtu anapenda mpira.., especially ushabiki wa timu za nchi ambazo hata hujawahi tia mguu.., pelekeni jukwaa la michezo huko
Sitaki ban mwanzoni mwa mwakaWe kama hupendi mpira utakuwa mpunga
We kama hupendi mpira utakuwa mpunga
Hapana alitokea juve akaenda Chelsea...ahaaa
.ila dechamps alitokea chelsea