deliverance man
Member
- Jul 14, 2019
- 21
- 7
Waambie Hao, Wasije Kuendekeza Starehe Waka DISCONTINUE waje kulima viazi.
Habarin za wakat huu wana Jf
Kama una ndgu yako anatarajia kujiunga na Muhimbil University bac ningependa kuwaqumbuxha yafuatayo:
1) Ondoa dhana ya kwmba chuo bata, kwa muhas utaxoma kama advance. Vpnd Kuanzia saa2 asbh had saa11 jion ,hakuna utan
2). Boom n pexa ndogo sana so jtahd kubalance matumz kama unajua huna back up ya watu wa kukuxaidia. Ucje ukashndia mkate na maji
3) Shule n ngumu sana so jtahd kuwa serious mwanzon kwan ukiwa na sup mbil sem 1 uwezkano wa kudisco n mkubwa.
Note: Ukitaka GPA kubwa na kusoma kwa kurelax nenda private eg KCMC Bt kma unataka kuxoma ktk mazngira magumu Karbu MUHAS.
passing with flying colorsUgumu au urahisi wa masomo ni mtu mwenyewe kuamua, muhas hakuna lolote cha kuwatishia watu kiasi hicho wewe kama umekutana na ugumu basi amua pawe rahisi kwako, hakuna cha kutisha hapo
mkuu kama ingekua pass mark ndio kigezo disco mbona zipo? izo changamoto zpo na znazowafelisha watu kama hujui kaa kmyaKama unapaona MUHAS pagumu basi wewe ndio bolizozo mburukenge.. Kama mtu ameweza pata pass marks za kujiunga hapo sioni kitakachomshinda unless aliibia mtihani.
NB: Andika vizuri umeshakua mkubwa, hizo xx ni upuuzi.