Hillary Clinton aiumbua Tanzania

Acha uongo, kwenye red
1. Rwanda ni sawa na mkoa wa kigoma tu, kwa hiyo hawawezi
2. Ni kweli chedema walishinda huko karatu, moshi na Arusha kwa urais lakini si tanzania yote. Jakaya won election tuache uongo na ubabaishaji. bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa Tz yetu. Nakushauri tembea Tanzania. ni zaidi ya kapo kaskazini ulipo. kuna kusini, magharibi, mashariki na kati pia.
Anyway kama hutaki leave me alone na nenda kapalilie ndizi na kapige dawa mikahawa.
Hapo kwenye red point yako ni nini-kwamba nchi ndogo ndizo zinazoweza kupiga hatua kuliko nchi kubwa katika maendeleo au (Development=1/A of the country)? Nyie magamba bana, sjui mmesoma vitabu gani wenzetu huko vyuoni! lol
 
sasa si ndio ukweli, kwani kadanganya!!
wenzetu sio wanafki.
huafanya poa uaambiwa live kua hujafanya poa, sio sisis tunalindana
machafu yetu.
 
Tatizo kuna watu wanaenda nje ya maada!

Lets try to evaluate ourselves as one family, tunajivunia nini wabongo ambacho wengine hawana zaidi ya kuwa na natural resources ambazo hatuzitumii pamoja na kujaaliwa na mwenyezi mungu tukaweza kutambua uwepo wake?

Ukiulizwa Tanzania inafanya vizuri katika sekta ipi utajibu nini wajameni zaidi ya kusema ooooh, tuna Mlima Kilimanjaro, mara mbuga za wanyama mara ziwa Victoria hivi vyote vipo naturally, sasa mtu aseme sisi kama taifa tumetengeneza nini cha kwetu ( Technolojia yetu nini, nyumbu-kibaha?
Mikokoteni-shy, tabora, mwanza etc? Biogas technology ya Carmatec wanaitumia Rwanda, kila kitu tunaimport) So, we don't need to find a witch for our own family tunajijua mwanzo mwisho.

Nenda vyuo vikuu, utakuta Prof hana maabara unategemea atafanyeje kazi, licha ya hao Prof kuwepo, hatuwatumii inavyotakiwa wanaishia kukimbizana na wanasiasa kutafuta mikate ya watoto, huku tukisahau huyu prof alisomeshwa ili aandae vijana kwa ajili ya taifa.

Kuvutia wawekeza, hatukatai, lakini transparency hakuna unategemea watu watakuwa na ari ya kufanya kazi bila motisha (not neccessary to be money). Haya jamaa wanawekeza, lakini manpower hakuna kama ipo haitoshi na sheria zetu hazipo wa ajili ya kulinda usalama wa nchi, ni kwa ajili ya viongozi na vyama, ni vurugu tu wanaJF! why not bring their own workforce, wanakomba kila kitu.

Sisi hadi tuache ushabiki wa kijinga ndo tutajua kuwa tunajichelewesha sana tunaposhabikia vitu vya kipuuzi wakati ukweli uko wazi.
 
Kwani rwanda wana nini cha kuizidi bongo?
Huyo mama hajaitaja tz ndo iwe issue?wakati mitambo ya symbion yaweza kuwa yakwake na obama unadhani wao watakula wapi wakati mwakani wanapigwa chini na republican.
 
Acha uongo, kwenye red 1. Rwanda ni sawa na mkoa wa kigoma tu, kwa hiyo hawawezi 2. Ni kweli chedema walishinda huko karatu, moshi na Arusha kwa urais lakini si tanzania yote. Jakaya won election tuache uongo na ubabaishaji. bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa Tz yetu. Nakushauri tembea Tanzania. ni zaidi ya kapo kaskazini ulipo. kuna kusini, magharibi, mashariki na kati pia.Anyway kama hutaki leave me alone na nenda kapalilie ndizi na kapige dawa mikahawa.
ile methali isemayo CHEMA CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA Bado inafanya kazi? mbona hoja ya kutuaminisha kikwet+e alishinda wkati kesha apishwa siku nyiiingi hamtutangazii ubovu kweli!!!! tulitaqajia rais apendwe,aungwe mkono, aheshimiwe, kinyume chake tunaambiwa tumdharau kikwete, hatukioni cha kumuunga mkono, tunampenda kwa jambo gani? TOENI MAPOROJO YA USHINDI WA JK KAMA MNA EZA WATUMIKIENI WATAN ZANIA..
 
Acha uongo, kwenye red
1. Rwanda ni sawa na mkoa wa kigoma tu, kwa hiyo hawawezi
2. Ni kweli chedema walishinda huko karatu, moshi na Arusha kwa urais lakini si tanzania yote. Jakaya won election tuache uongo na ubabaishaji. bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa Tz yetu. Nakushauri tembea Tanzania. ni zaidi ya kapo kaskazini ulipo. kuna kusini, magharibi, mashariki na kati pia.
Anyway kama hutaki leave me alone na nenda kapalilie ndizi na kapige dawa mikahawa.

Ukubwa wa nchi sio ishu. Mfano wa nchi ndogo ambazo hazina maendeleo ya Rwanda ni pamoja na Burundi, Lesotho (pamoja na kuzungukwa na SA), madagascar, ushelishel,nk. Pia kuna nchi ambazo ni kubwa na ni tajiri pamoja na kwamba tulikuwa level miongo si ming iliyopita kama China na India. Kwa hiyo kitu cha msingi ni mipango na Utekelezaji makini.

Aibu yetu leo tunajisifu kwamba tunakopesheka, tuna malengo ya kuendelea kukopesheka na kuwa tegemezi kibajeti wakati Rwanda wanafikiria kuanza kujitegemea kibajeti. Si tumeona madhara ya kutegemea wajomba kwenye bajeti, wakaahidi lakin hawakutekeleza? Serikali yetu kwa sasa unaweza kusema inapigania kuendelea kuongoza na sio kuwaletea wananchi wake maendeleo, maana wamebanwa na wapinzani kotekote. Haikubaliki kwa wananchi na haitaki kukubali hilo.
 
hakuona maendelea kwenye ile bustani aliyopelekwa na pinda ?.....hahahhahahah
 
Kwa mibwege kama wewe kutakuwa na maendeleo kweli,swala la maendeleo ya nchi yetu sio la chadema na Dr slaa,ni la kwetu wote regardlss of itikadi za chama chako,kwa bahati mbaya au nzuri chama kilicho madarakani ni CCM,so ni lazima tukikosoe ili kiweze kuleta maendeleo kwa manufaa yetu sote,sio unakaa kumbeza Dr slaa.

Kweli mkuu, kuna watu wengine huwezi hata kuwaelewa hivi wanataka mabadiliko katika hii nchi au wanafaidi kwa hali hii ilivyo?, Tanzania tunasafari ndefu sana kufikia katika kuanza kuendelea.
 
Tatizo kuna watu wanaenda nje ya maada!

Lets try to evaluate ourselves as one family, tunajivunia nini wabongo ambacho wengine hawana zaidi ya kuwa na natural resources ambazo hatuzitumii pamoja na kujaaliwa na mwenyezi mungu tukaweza kutambua uwepo wake?

Ukiulizwa Tanzania inafanya vizuri katika sekta ipi utajibu nini wajameni zaidi ya kusema ooooh, tuna Mlima Kilimanjaro, mara mbuga za wanyama mara ziwa Victoria hivi vyote vipo naturally, sasa mtu aseme sisi kama taifa tumetengeneza nini cha kwetu ( Technolojia yetu nini, nyumbu-kibaha?
Mikokoteni-shy, tabora, mwanza etc? Biogas technology ya Carmatec wanaitumia Rwanda, kila kitu tunaimport) So, we don't need to find a witch for our own family tunajijua mwanzo mwisho.

Nenda vyuo vikuu, utakuta Prof hana maabara unategemea atafanyeje kazi, licha ya hao Prof kuwepo, hatuwatumii inavyotakiwa wanaishia kukimbizana na wanasiasa kutafuta mikate ya watoto, huku tukisahau huyu prof alisomeshwa ili aandae vijana kwa ajili ya taifa.

Kuvutia wawekeza, hatukatai, lakini transparency hakuna unategemea watu watakuwa na ari ya kufanya kazi bila motisha (not neccessary to be money). Haya jamaa wanawekeza, lakini manpower hakuna kama ipo haitoshi na sheria zetu hazipo wa ajili ya kulinda usalama wa nchi, ni kwa ajili ya viongozi na vyama, ni vurugu tu wanaJF! why not bring their own workforce, wanakomba kila kitu.

Sisi hadi tuache ushabiki wa kijinga ndo tutajua kuwa tunajichelewesha sana tunaposhabikia vitu vya kipuuzi wakati ukweli uko wazi.

Wenzetu wanamafuta tu, wapo juu. sisi tuna kila kitu, hayo mafuta, Gas, madini mengine kibao, ardhi safi yenye rutuba, mito, maziwa, bahari, watu wenye nguvu, kila kitu kipo ila tumekosa uongozi bora.
 
Kwa hiyo Chadema-JF, mmejifariji kwa kutoitaja Tanzania?
Basi kama wewe ni ccm ujue kwamba siku ile alikuwa anawakoga tu alipozungumza na presido wenu asiye na mwelekeo.
Kila mtu anashangaa nchi yenye resources kama yetu kuwa hoi bin taabani namna hii
 
Tatizo kuna watu wanaenda nje ya maada!

Lets try to evaluate ourselves as one family, tunajivunia nini wabongo ambacho wengine hawana zaidi ya kuwa na natural resources ambazo hatuzitumii pamoja na kujaaliwa na mwenyezi mungu tukaweza kutambua uwepo wake?

Ukiulizwa Tanzania inafanya vizuri katika sekta ipi utajibu nini wajameni zaidi ya kusema ooooh, tuna Mlima Kilimanjaro, mara mbuga za wanyama mara ziwa Victoria hivi vyote vipo naturally, sasa mtu aseme sisi kama taifa tumetengeneza nini cha kwetu ( Technolojia yetu nini, nyumbu-kibaha?
Mikokoteni-shy, tabora, mwanza etc? Biogas technology ya Carmatec wanaitumia Rwanda, kila kitu tunaimport) So, we don't need to find a witch for our own family tunajijua mwanzo mwisho.

Nenda vyuo vikuu, utakuta Prof hana maabara unategemea atafanyeje kazi, licha ya hao Prof kuwepo, hatuwatumii inavyotakiwa wanaishia kukimbizana na wanasiasa kutafuta mikate ya watoto, huku tukisahau huyu prof alisomeshwa ili aandae vijana kwa ajili ya taifa.

Kuvutia wawekeza, hatukatai, lakini transparency hakuna unategemea watu watakuwa na ari ya kufanya kazi bila motisha (not neccessary to be money). Haya jamaa wanawekeza, lakini manpower hakuna kama ipo haitoshi na sheria zetu hazipo wa ajili ya kulinda usalama wa nchi, ni kwa ajili ya viongozi na vyama, ni vurugu tu wanaJF! why not bring their own workforce, wanakomba kila kitu.

Sisi hadi tuache ushabiki wa kijinga ndo tutajua kuwa tunajichelewesha sana tunaposhabikia vitu vya kipuuzi wakati ukweli uko wazi.
I take your point 1000%
 
hajatuumbua amesema ukweli

Na sasa tuache kudhani kila kitu ni chadema au CCM, kufanya kazi ofisini na kuacha kuangalia picha za uchi, uwazi au kutngozana sio kazi ya chama... ni utashi wetu

humo maofisini kuna washabiki wengi sana wa chadema ambao kutwa badala ya kufanya kazi wao wanomba rushwa, wanajibu vibaya customers etc...

mfano ni walimu, watu wa fya na polisi, wengi wa hawa jamaa wanapenda mageuzi, lakini ni wavivu, wala rushwa wabinafsi nk

i think enough is enough with siasa tufanye kazi
 
Tumeisha jisifia wenyewe uchumi wetu umekua kwa asilimia 8, hatutaki kusubiri kusifiwa na mtu. Rwanda wametupitaje wakati sisi ni miongoni mwa nchi chache sana ambazo uchumi wake umekuwa kwa kiasi hiki kikubwa. Nape hebu mjibu Bi. Clinton asitake kutuumbua.
 
Acha uongo, kwenye red
1. Rwanda ni sawa na mkoa wa kigoma tu, kwa hiyo hawawezi
2. Ni kweli chedema walishinda huko karatu, moshi na Arusha kwa urais lakini si tanzania yote. Jakaya won election tuache uongo na ubabaishaji. bila shaka wewe utakuwa mtu wa kaskazini kwa Tz yetu. Nakushauri tembea Tanzania. ni zaidi ya kapo kaskazini ulipo. kuna kusini, magharibi, mashariki na kati pia.
Anyway kama hutaki leave me alone na nenda kapalilie ndizi na kapige dawa mikahawa.
hapo kwenye yellow kwani ile mikutano ya CDM ilikuwa ikipigwa maeneo Rukwa,Mbeya, Iringa na Ruvuma nako ni kaskazini mwa Tanzania au jiografia yangu haiko sawa nini?
 
Back
Top Bottom