Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,176
- Thread starter
- #21
Ni ajabu sanaKumbe sikuona peke yangu, utaokoaje bando ilihali hujapiga wewe??!.
Haitakaa itokee sim Nipige Mimi bando uokoe wewe.
Sasa utasikiaje saut nyororo ya wadada pale tigoMe pia hayo maongezi yananikera bora waweke Alarm tu.
Arikua ni chacha muraKushikiria = kushikilia
Hatutaki kumsikiaWameleta mdada mbadala wa alarm .
So trueHii kitu kwa kweli tigo wanaboa
Wananikumbusha dk zimeisha wakati najuaLakini yote kwa yote sio lazima kukumbusha wao majukumu ya ni kuhakikisha kama unapiga simu una salio haijalishi ni dakika ngapi prepaid unapangiwa tena matumizi wao wasubiri dakika ikate kwani ni bure?.
Nataka ni ifute kma ni notificationIle ni notification kutoka tigo