Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Habari wapendwa naenda moja kwa moja kwenye nasumbuliwa na tatizo la nakuwa na hamu ya kula lakini nikiwekewa chakula mezani nakula kidogo na kutapika.
Nimeenda hospitali nikacheki malaria Sina sasa nazidi kupata stress sijui tatizo Nini basi kama watu wenye experience na hili tatizo ushauri tafadhali. Yaani naishi kwa kula matunda tu.
Nimeenda hospitali nikacheki malaria Sina sasa nazidi kupata stress sijui tatizo Nini basi kama watu wenye experience na hili tatizo ushauri tafadhali. Yaani naishi kwa kula matunda tu.