IHOLOMELA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,807
- 1,672
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!
Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.