Hili ni gonjwa au mazoea mabaya.?

IHOLOMELA

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,807
1,672
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
 
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
Pole sana, kwa kuwa umeshindwa kuacha huo mchezo mimi nakushauri tafuta mke uoe, na pale utakapokuwa unajisikia kufanya huo mchezo nadhani atakuwa na msaada mkubwa.
 
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.

Umeishaharibikiwa weye bora ukae hivyo hivyo maana ukipata mke watu watakuwa wanakusaidia
 
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
hiyo ni addiction inabidi upunguze au ujitahidi uache lakini kama huna demu na unatumia njia hiyo kupunguza ukame ni nzuri kuliko kuparamia vicheche au kuchukua ma-CD kwani huwezi kupata ngoma ingawa ina side effects za kisaikolojia
 
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.

Ama kweli wewe ni IHOLOMELA!!!!!!
 
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
Ndugu yangu una tatizo kubwa sana ambalo kama hautolitafutia ufumbuzi mapema unaweza kujikuta huwezi kumudu mahusiano na mwanamke yeyote,
-Ukiwa na mwanamke hutosikia raha wakati wa tendo kama unavyosikia wakati ukijichua
-Wakati wa tendo utajikuta ukimaliza mshindo mapema sana kabla ya mwenzi wako na kumuacha akiwa na hamu ambayo itapelekea naye kutafuta wa kumaliza kiu yake sehemu nyingine
Kwa msaada unatakiwa upate ushauri wa namna ya kuachana na hiyo hali maana inaonesha umekwishaathirika kisaikolojia jambo ambalo ni gumu sana kwako kuacha,
Mrudie Muumba wako na kufuata mafundisho yake kama unaamini katika dini yoyote.
Pole sana.
 
kaka, niliposoma "ANTENNA YANGU" nilifikiri antenna ile ingine haina network - hahahaha
kujikamua you mean masterB yah! ndugu tafuta gal/mke otherwise hiyo MB itaku-effect
ukubwani, antenna yako itakuja shindwa ku-catch network na kuanguka - BeCareful Man:shock:
 
Una mapepo wachafu
Bandugu nawasalimu.. Nina miaka 30 sasa, sijaoa kwa kuwa bado antena ya maisha haijakaa sawa, nakamata chenga.!

Kuna tatizo linanisumbua sana, yaani haupiti usiku bila "kujikamua". Ninapopanda kitandani tu "Jogoo" anataka kuwika.
Nimejaribu kuacha lakini nimeshindwa..tena ikipita usiku sijajichua, usiku unaofuata nakamua hadi mara nne. Naomba msaada wenu wana JF.
 
Risasi zaisha na ndege, ndovu akitokea kaka.....Risasi hizoooo zimeenda utaangushaje huyo NDOVU. Nilham, Rose, FirstLady, cheusimangala na wengine, tusaidieniiii!!!!!!
 
Back
Top Bottom