engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wadau wa JF
kwa kuanzia tu maoni yangu ni kama yaonekanavyo ktk picha hapo chini
Vazi la Taifa liwe kama lionekanavyo ktk picha hapo juu
KARIBUNI WENYE MAONI
duh isee, kwa hiyo jk na wapambe watakuwa wanatinga hili akienda nje!??Wadau wa JF
kwa kuanzia tu maoni yangu ni kama yaonekanavyo ktk picha hapo chini
Vazi la Taifa liwe kama lionekanavyo ktk picha hapo juu
KARIBUNI WENYE MAONI
Kama kweli hilo ndilo vazi la Taifa basi tuna matatizo makubwa! Kwa vipi hicho kizibao kiwe vazi la wamasai, wabena, wakwere, wachaga, wapare waluguru etc? Na litavaliwa wapi? Mshono wake (hasa shingo) unatafauti gani na kaunda suti za Mwl. Nyerere, Mzee Malecela na wengine? Tofauti hapa ni rangi na hiyo picha ya twiga.
Kwa maneno mengine concept ya hicho kizibao hakina tofauti na masharti ambayo yamekuwa yanavaliwa na wananume kama sehemu ya vazi la taifa. Sasa kulikuwa na haja gani kuunda tume just kubadilisha rangi? Wanawake nao watavaa hicho kizibao?
Sioni umuhimu wa hilo vazi,nadhani tuna mambo mengi zaidi ya kufanya zaidi ya kukaa na kulipana mabilioni kwa vazi ambalo hata nikilivaa halitanifaidisha kitu."ni maoni yangu tu haya".
sema wewe unataka iweje? lete maoni yako kama hutaki kuleta maoni hilo ndilo litakuwa vazi la taifa kama likipitishwa
Yale magwanda ya CDM yanafaa sana kuwa vazi la taifa