HILI NALO NENO KWA WANAUME.

HILI NALO NENO KWA WANAUME.

Ukiona Umefika Umri Ambao Ukiona

Unapata Pesa, Huwazi Kununua Jeans

Wala T - shirt .

Tambua Kua Upo Kwenye Kundi La

WANAUME sio WAVULANA.
ni maneno tuu umaweza kuacha kununua hiyo tshirt ukanunua sijui vikorokoro gani na ukabaki kuwa mvulana...kuwa mwanaume ni mentality na sio ununuaaji wa vitu
 
Hili ni suala la mitindo tu unaweza kuwa Mvulana ukaniga tai mwanzo mwisho na Ukawa Mwanaume bado ukalipuka T shirt na Jeans mwanzo mwenga. Utu sio mavazi vaa vile uwezavyo ilimradi uvae kiheshima
 
Sana tuu
Hili ni suala la mitindo tu unaweza kuwa Mvulana ukaniga tai mwanzo mwisho na Ukawa Mwanaume bado ukalipuka T shirt na Jeans mwanzo mwenga. Utu sio mavazi vaa vile uwezavyo ilimradi uvae kiheshima
 
M nazan mtoa uzi kamaanisha km unapata hyo pesa unawaza labda kupanga chumba uhame nyumban ,kunnua vitu vitavyosaidia uanze kujitegemea,,,tofaut na mvulana yy akipata pesa anawaza kupendeza
Agiza novida nakuja lipia chifu
 
Hahaha!
Mabaharia nasikia wanapenda sana singeli😂😂
 
Back
Top Bottom