Hili litanishinda labda niwaachie majembe wengine.

Hili litanishinda labda niwaachie majembe wengine.

Na nyie sijui mpendwe bana?...mtoto kakolea unaanza swaga..isitoshe ni wiki tatu tu!..lolz
Ushauri wangu kwa kuwa uko bize waachie wanaoijua kazi wampe raha huyo binti naona unampaka shombo tu!
 
Kizazi cha doti komu ndio matatizo yake,yafaa umwambie nini unapenda na nini hupendi kwani bila kufanya hivyo siku zijazo utakuja kuona ni kero wakati mwenzako anamwagilia pendo lake kwako.
Sasa phone sex za nini wakati mnaweza kukutana na kumaliza mchezo wote?
 
Kwa maana hiyo aniamini vya kutosha? kuna haja yeyote ya kulinda kwa kuweka ulinzi mkali hivi mahali palipo salama?

Hakuna mwanamke anaejiamini hata akiwa ktk ndoa hataacha kuchungulia dirishani kuona unamtazama nani.
La msingi dhibiti mawasiliano
 
Kwanza je umri wake uko katika group gani? 18-21? au 21-25? au 25+?

Pili itabidi umwambie ila kiupole. Ni jambo la kawaida especially kwa vibinti vidogo kuwa hivyo. Mkomaze! Ataelewa tu
 
ukweli ni huu,,utakapomwambia apunguze hiyo michakato..ataona dizain haumkubali kiaina hivi so possibility ya raia mwengine kuenjoi hizo offer ambazo hauzipendi inakua kubwa,,solution we nenda nae tu hivyo hivyo kibishi...wkt wa night chonga nae lisaa limoja mwambie unaangusha mishe zime kujaa...etc we mtoto wa kiume huwez kosa visingizio hata me nilipitia hizo stage ingawa mpk leo napigiwa simu mara nyingi naenda nae tu hivyo hivyo kibishi...dizain manzi hajiamini huyo..
 
Kwanza je umri wake uko katika group gani? 18-21? au 21-25? au 25+?

Pili itabidi umwambie ila kiupole. Ni jambo la kawaida especially kwa vibinti vidogo kuwa hivyo. Mkomaze! Ataelewa tu

yupo kwenye kundi la umri wa 18-21.
 
basi ukipata jimama kama mie utaimba haleluya

nanyanyua waya 24/7, ngoja nimpumzishe
labda na yeye anachoka ila hajaniambia tu
 
Mbona mambo ya kawaida ndugu yangu,mtoto amekolea kwako na anaonyesha kile alichonacho moyoni mwake,au unataka dunga embe ?tumia technic tu
 
anakuchek night unaomba poo je akibadilisha kibao akitupigia sisi tukampa maneno matamu kama sukar akakusahau utasemaje?
 
zungumza nae....

Afahamu mihangaiko yako na mtafute wakati muafaka.....

Ika si mna wiki tatu tu? Penzi bado jipya mtaacha wenyewe soon....
 
Mbona mambo ya kawaida ndugu yangu,mtoto amekolea kwako na anaonyesha kile alichonacho moyoni mwake,au unataka dunga embe ?tumia technic tu

hapana sitaki madunga embe, ila swala la kupigiwa simu mida ya bundi sio jambo la kiungwana, kumwambia ataona kama ananikera, ila kiukweli napenda kuongea nae ila kwa mfumo huu ananitumia to the extent.
 
Hiyo unayoita mida ya bundi anza sasa kuita mida ya upendo na mApenzi...utaona duniayako ya mapenzi itakavyobadilika na kuwa bora
 
Back
Top Bottom