Habari zenu wana-jamvi? ni imani na faraja kwangu kuona yu mzima na kuweza kusoma, kutafakari na kutoa mchango wako wa kiushauri katika uzi huu. Nitaiheshimu michango yenu yote mtakayotoa ingawa natambua hakuna mwalimu wa mapenzi hapa duniani, kila mmoja wetu anakutana na changamoto yake, ambayo kwa mwenzake mwingine ni jambo la kawaida, kwa maana ya kwamba linaweza lisiwe changamoto kwake.
Baada ya maelezo hayo juu, niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada, mimi nina mpenzi wangu, ambae kwenye mishe mishe zangu za hapa na pale nimetokea kumpata, nikamtiririkia nia na binti akajaa, tumekua kwenye mahusiano takribani wiki ya tatu (3) sasa.
Kikubwa kinachonipa tabu kwa haka katoto ni pale kalipo kolea kwangu, mtoto yuko kwenye peak na hataki kupoteza hata dakika moja kujua jembe naendeleaje na mambo yangu, anafanya hivyo kwa kutuma ujumbe mfupi, yani SMS, wats up, Facebuk, viber mpaka kwenye skype. Naamini ningekua na blackberry basi hata BBM kingewaka.
Haya yote nimevumilia na naweza kuyamudu, ila hili la kupiga simu mida mibovu bandugu mimi siliwezi, mtoto anapenda kuongea mida ya bundi na sio kwamba mchana havuti uzi, hapana, ila anapenda jembe nifanye nae phone sex (only 18+).
Kutokana na majukumu niliyonayo nyakati zote za kung'ara na kuwaka kwa jua, siwezi kumridhisha kwenye hili. Bandugu naombeni mawazo yenu mtambuka, je niwaachie majembe wangine walifanikishe au nifanyeje?
Baada ya maelezo hayo juu, niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada, mimi nina mpenzi wangu, ambae kwenye mishe mishe zangu za hapa na pale nimetokea kumpata, nikamtiririkia nia na binti akajaa, tumekua kwenye mahusiano takribani wiki ya tatu (3) sasa.
Kikubwa kinachonipa tabu kwa haka katoto ni pale kalipo kolea kwangu, mtoto yuko kwenye peak na hataki kupoteza hata dakika moja kujua jembe naendeleaje na mambo yangu, anafanya hivyo kwa kutuma ujumbe mfupi, yani SMS, wats up, Facebuk, viber mpaka kwenye skype. Naamini ningekua na blackberry basi hata BBM kingewaka.
Haya yote nimevumilia na naweza kuyamudu, ila hili la kupiga simu mida mibovu bandugu mimi siliwezi, mtoto anapenda kuongea mida ya bundi na sio kwamba mchana havuti uzi, hapana, ila anapenda jembe nifanye nae phone sex (only 18+).
Kutokana na majukumu niliyonayo nyakati zote za kung'ara na kuwaka kwa jua, siwezi kumridhisha kwenye hili. Bandugu naombeni mawazo yenu mtambuka, je niwaachie majembe wangine walifanikishe au nifanyeje?