Hili lisemwe na kuoongezwa!

Hili lisemwe na kuoongezwa!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,199
Leo wapo watumishi wa umma wamecheka yaani wamepandishwa madaraja na mzigo umeongezeka huko kwenye ATM.

Hii ni pending ya jambo letu.
 
Magufuli alikuwa na nafasi ya kufanya yote haya. Akijikuta ameamua kuwa dictator sasa mama anajibebea maujiko kiulainii
 
Magufuli alikuwa na nafasi ya kufanya yote haya. Akijikuta ameamua kuwa dictator sasa mama anajibebea maujiko kiulainii
20220521_194330.jpg
 
Imekuaje siku hizi? Au ndio maagizo ya Katibu, Sifia, Sifia.
 
Back
Top Bottom